Yanga sio mabingwa wa kihistoria (Simba yupo 22 na Yanga pia)

Una shupaza shingo hio website inamakosa mwaka 2000 bingwa hakua Yanga
Sasa unataka mimi nikusaidieje!? Unaongea maneno matupu bila references. Sisi wasomi tunaongea vitu kwa ushahidi.
Weka ushahidi.
 
Sasa unataka mimi nikusaidieje!? Unaongea maneno matupu bila references. Sisi wasomi tunaongea vitu kwa ushahidi.
Weka ushahidi.
Unajiita msomi usie taka kufanya reference kutoka sources tofauti? Nmekwambia mwaka 2000 Yanga hakua bingwa hutaki kuelewa basi kaa na usomi wako
 
Unajiita msomi usie taka kufanya reference kutoka sources tofauti? Nmekwambia mwaka 2000 Yanga hakua bingwa hutaki kuelewa basi kaa na usomi wako
Sasa unaleta taarifa kutoka kichwani mwako!? Tuambie hizo taarifa umezitoa wapi!? Weka reference hapa
 
Kabla hatuja endelea na mjadala nijibu swali hili.
Unakubali Mtibwa kasha wahi chukua kombe la ligi kuu? Kama jibu ni ndio nitajie Mwaka kama jibu ni Hapana tuachane na hili swala
Sasa mzee thread inaongelea yanga wewe unaniuliza maswali ya mtibwa, wapi na wapi. Anzisha thread kuuliza mtibwa ilipata ubingwa mwaka gani tutakuja kuchangia.

Umenielewa mwanangu!?
 
Sasa mzee thread inaongelea yanga wewe unaniuliza maswali ya mtibwa, wapi na wapi. Anzisha thread kuuliza mtibwa ilipata ubingwa mwaka gani tutakuja kuchangia.

Umenielewa mwanangu!?
Unajiita msomi harafu huelewi Mtibwa kaja vp kwenye hii thread? Kumamae CCM imetuweza haya ndio matunda ya BRN
 
Mkuu wikipedia is not credible source, ukiitumia hiyo kama reference itakuwa kwako.

Vv
 
Unajiita msomi harafu huelewi Mtibwa kaja vp kwenye hii thread? Kumamae CCM imetuweza haya ndio matunda ya BRN
Umri wangu ni sawa na baba yako. Tafadhali jiheshimu. Njoo na facts kama hii:
 
Kwa hiyo mtibwa hajawahi chukua ubingwa!?
 
Sasa mzee thread inaongelea yanga wewe unaniuliza maswali ya mtibwa, wapi na wapi. Anzisha thread kuuliza mtibwa ilipata ubingwa mwaka gani tutakuja kuchangia.

Umenielewa mwanangu!?
Kama mtibwa au timu zingine hazihusiki na thread yako isipokua yanga, basi ungetoa hizo timu zote ukaorodhesha tu miaka ambayo yanga alitwaa ubingwa.
 
Hivi Yanga ni mabingwa wa story au ni mabingwa wa kihistoria?😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…