Yanga sio watani wa jadi tena, ni haters

Yanga sio watani wa jadi tena, ni haters

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Hawa Utopolo Simba ilipomuuza Chama walipiga domo sana,kwamba Simba imeuza mchezaji muhimu. Sasa limetokea la kutokea leo wanasema Chama amefulia ndo maana amerudi. Hawa ni haters, chuki za kichawi. Mchawi huwa anachukia bila sababu.

🚨Moja ya sababu kubwa zaidi ukiachana na yeye kutoendana na maisha Berkane ilikuwa pia watoto wake kukaa nao mbali hakuwa tayari

🚨Berkane walitaka kwenda kumpa Makazi Jijini Casablanca ambapo ilikuwa mwendo wa Masaa sita kutoka Berkane mpaka Casablanca hivyo bado aliona Kuna umbali Mkubwa

🚨Berkane walifanya Kila kitu kumbakisha Triple C ila haikuwezekana na mara zote aliomba kuondoka na Simba ndio ilikuwa jibu lake

📌Kwa wanaoamini Chama ameisha basi mkumbuke kuwa mechi ya mwisho alikuwa Man of the match na kiwango bora sana ikiwa ni muda mchache baada ya kutoka kwenye majeraha.
 
Siku zote walikuwa wanajitutumua Chama anaenda jangwani, leo ghafla wanaanza kupiga kelele hawa ni waoga wapuuzwe.

Sababu za Chama kurejea Simba SC ziko wazi na zinaeleweka kabisa, kama hawataki Chama arudi msimbazi waende CAS kama kawaida yao.
 
Chama amekimbia benchi Morroco na si vinginevyo.

Nampongeza kwa hilo kwa kuokowa kipaji chake badala ya kuangalia pesa tu.

Hivi Gadiel Michael bado yupo Simba au alishatolewa kwa mkopo? Maana si kwa benchi mnalomuweka, ndio mambo aliyoyakimbia Chama.
 
Na hapo hujaongelea mwiko
Bado najioanga ninataka kuanzisha thread inayohusu miko mbalimbali duniani. Ninataka niongolee aina miko.
1. Mwiko wa kupakulia
2. Mwiko wa kuchotea
3. Mwiko wa kusongea
4. Mwiko wa kukorogea.

Nitaongelea miko mikubwa na midogo. Nitaongelea timu mbalimbali na miko yao. Je, hiyo miko wanaitumiaje!?
Nitaongelea miko mingine ya nyuma.

Basi najipanga kisawa sawa niongele vyema kabisa.
 
View attachment 2081847
Hawa Utopolo Simba ilipomuuza Chama walipiga domo sana,kwamba Simba imeuza mchezaji muhimu. Sasa limetokea la kutokea leo wanasema Chama amefulia ndo maana amerudi. Hawa ni haters, chuki za kichawi. Mchawi huwa anachukia bila sababu.

[emoji599]Moja ya sababu kubwa zaidi ukiachana na yeye kutoendana na maisha Berkane ilikuwa pia watoto wake kukaa nao mbali hakuwa tayari

[emoji599]Berkane walitaka kwenda kumpa Makazi Jijini Casablanca ambapo ilikuwa mwendo wa Masaa sita kutoka Berkane mpaka Casablanca hivyo bado aliona Kuna umbali Mkubwa

[emoji599]Berkane walifanya Kila kitu kumbakisha Triple C ila haikuwezekana na mara zote aliomba kuondoka na Simba ndio ilikuwa jibu lake

[emoji419]Kwa wanaoamini Chama ameisha basi mkumbuke kuwa mechi ya mwisho alikuwa Man of the match na kiwango bora sana ikiwa ni muda mchache baada ya kutoka kwenye majeraha.
Talaka rejea.
 
Talaka rejea.
Kwenu wanayanga
Screenshot_20220115-101429.png
 
Yanga is going to win major titles.

Is mapinduzi cup major title?[emoji3]
 
Hivi Gadiel Michael bado yupo Simba au alishatolewa kwa mkopo? Maana si kwa benchi mnalomuweka, ndio mambo aliyoyakimbia Chama.
First 11 sio hisani ni uwezo wa kushindana. Hii ni kokote duniani. Gadiel amepewa mechi kadhaa akacheza hajamshawishi kocha. Halafu tambua hakuna namna bench litakosa wachezaji
 
View attachment 2081847
Hawa Utopolo Simba ilipomuuza Chama walipiga domo sana,kwamba Simba imeuza mchezaji muhimu. Sasa limetokea la kutokea leo wanasema Chama amefulia ndo maana amerudi. Hawa ni haters, chuki za kichawi. Mchawi huwa anachukia bila sababu.

🚨Moja ya sababu kubwa zaidi ukiachana na yeye kutoendana na maisha Berkane ilikuwa pia watoto wake kukaa nao mbali hakuwa tayari

🚨Berkane walitaka kwenda kumpa Makazi Jijini Casablanca ambapo ilikuwa mwendo wa Masaa sita kutoka Berkane mpaka Casablanca hivyo bado aliona Kuna umbali Mkubwa

🚨Berkane walifanya Kila kitu kumbakisha Triple C ila haikuwezekana na mara zote aliomba kuondoka na Simba ndio ilikuwa jibu lake

📌Kwa wanaoamini Chama ameisha basi mkumbuke kuwa mechi ya mwisho alikuwa Man of the match na kiwango bora sana ikiwa ni muda mchache baada ya kutoka kwenye majeraha.
Kutohusisha mwiko kwenye hii thread ni udhalilishaji wa timu pendwa ya vyura

Mwiko nyuma
 
Chama amekimbia benchi Morroco na si vinginevyo.

Nampongeza kwa hilo kwa kuokowa kipaji chake badala ya kuangalia pesa tu.

Hivi Gadiel Michael bado yupo Simba au alishatolewa kwa mkopo? Maana si kwa benchi mnalomuweka, ndio mambo aliyoyakimbia Chama.
Mkuu nendeni CAS kupinga usajili wa mchezaji aliyekuwa anasugua benchi Morocco kusajiliwa na mabingwa wa soka nchini Tanzania. 😄😄
 
View attachment 2081847
Hawa Utopolo Simba ilipomuuza Chama walipiga domo sana,kwamba Simba imeuza mchezaji muhimu. Sasa limetokea la kutokea leo wanasema Chama amefulia ndo maana amerudi. Hawa ni haters, chuki za kichawi. Mchawi huwa anachukia bila sababu.

[emoji599]Moja ya sababu kubwa zaidi ukiachana na yeye kutoendana na maisha Berkane ilikuwa pia watoto wake kukaa nao mbali hakuwa tayari

[emoji599]Berkane walitaka kwenda kumpa Makazi Jijini Casablanca ambapo ilikuwa mwendo wa Masaa sita kutoka Berkane mpaka Casablanca hivyo bado aliona Kuna umbali Mkubwa

[emoji599]Berkane walifanya Kila kitu kumbakisha Triple C ila haikuwezekana na mara zote aliomba kuondoka na Simba ndio ilikuwa jibu lake

[emoji419]Kwa wanaoamini Chama ameisha basi mkumbuke kuwa mechi ya mwisho alikuwa Man of the match na kiwango bora sana ikiwa ni muda mchache baada ya kutoka kwenye majeraha.
Tangu lini mtu asokomezwe mwiko nyuma halafu awe na roho ya ubinadamu? Tuwasamehe bure Maana tatizo linaanzia kwenye mwiko nyuma yao.
IMG_20211216_064222.jpg
 
Hapa kamvini Simba wanaongoza kwa chuki. Siku nzima mnaisema Yanga tuuuuuu
View attachment 2081847
Hawa Utopolo Simba ilipomuuza Chama walipiga domo sana,kwamba Simba imeuza mchezaji muhimu. Sasa limetokea la kutokea leo wanasema Chama amefulia ndo maana amerudi. Hawa ni haters, chuki za kichawi. Mchawi huwa anachukia bila sababu.

[emoji599]Moja ya sababu kubwa zaidi ukiachana na yeye kutoendana na maisha Berkane ilikuwa pia watoto wake kukaa nao mbali hakuwa tayari

[emoji599]Berkane walitaka kwenda kumpa Makazi Jijini Casablanca ambapo ilikuwa mwendo wa Masaa sita kutoka Berkane mpaka Casablanca hivyo bado aliona Kuna umbali Mkubwa

[emoji599]Berkane walifanya Kila kitu kumbakisha Triple C ila haikuwezekana na mara zote aliomba kuondoka na Simba ndio ilikuwa jibu lake

[emoji419]Kwa wanaoamini Chama ameisha basi mkumbuke kuwa mechi ya mwisho alikuwa Man of the match na kiwango bora sana ikiwa ni muda mchache baada ya kutoka kwenye majeraha.
 
Hapa kamvini Simba wanaongoza kwa chuki. Siku nzima mnaisema Yanga tuuuuuu
Hatuwasemi mkuu ila tunashauri mchomoe mwiko nyuma tuweze kushindana kwenye ligi ya soka nchini. Mmekalia utopolo tu badala ya kujenga timu.

Tengenezeni timu ya ushindani ndani na nje ya nchi sio mnasajili kuifunga Simba pekee
 
Back
Top Bottom