Yanga songeni mbele acheni ushamba

Yanga songeni mbele acheni ushamba

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
6,096
Reaction score
16,390
Katika siku mbili hizi kumekuwa na mjadara na gunzo kubwa kutokana na Yanga kunyimwa goli dhidi ya Mamelod ambalo wenda lingeweza kuivusha kwenda nusu fainal ya club bingwa Africa.

Kwanza mm mwenyewe ni kili kuwa lile lilikuwa goli halali kwa uono wangu na Yanga walinyimwa goli, lakini hili tukio linakuzwa sana kupita uhalisia.

Yaani hilo tukio linavyo ongelewa utadhani ni tukio la kwanza na halijawahi kutokea tangu mpira wa miguu uwepo hapa duniani.

Kwanza tukio hilo sio tukio la kwanza lenye utata na wala halitakuwa tukio mwisho lenye utata kweywe mpira wa miguu ,matukio yenye utata kwenye soka ni mengi sana duniani kote ikiwemo Tz ,na moja wapo ya wanufaika wakubwa wa maamuzi ya hovyo ya marefa ndani ya nchi hii ni nyinyi wenyewe Yanga.

Yanga songeni mbele mgange yajayo na mjipange msimu ujao acheni ushamba , kama ambavyo Mamelod alivyo nufaika na nyinyi kuumizwa na maamuzi mabovu ya marefa ,ndivyo na nyinyi mmekuwa mkinufaika na maamuzi ya hovyo ya marefa na kuziumiza timu nyingine hasa hapa kwenye ligi yetu.

Acheni kukuza mambo kana kwamba nyinyi ni watakatifu sana na kana kwamba nyinyi timu yenu haijawahi kunufaika na makosa ya waamuzi.
Hapa duniani kila timu ilisha nufaika na kuumizwa na maamuzi yenye utata wa waamuzi nyinyi sio wa kwanza na wala hamtakuwa wa mwisho.
 
Kuwa na aibu! Nitajie tukio lingine hapa duniani ambapo refa anaenda kuangaliaa VAR ili kuipa redcard timu moja, halafu timu hiyo hiyo inapofunga goli lenye utata, anagoma kwenda kuangalia VAR. Ukinitajia, najitoa JF.
This is a very serious crime! Jambo kama hili linatosha kuifannya nchi kujivua uanachama wa CAF! Kuna haja gani sasa ya kushiriki hayo mashindano kama washindi wameshapangwa?!
 
Katika siku mbili hizi kumekuwa na mjadara na gunzo kubwa kutokana na Yanga kunyimwa goli dhidi ya Mamelod ambalo wenda lingeweza kuivusha kwenda nusu fainal ya club bingwa Africa.

Kwanza mm mwenyewe ni kili kuwa lile lilikuwa goli halali kwa uono wangu na Yanga walinyimwa goli, lakini hili tukio linakuzwa sana kupita uhalisia.

Yaani hilo tukio linavyo ongelewa utadhani ni tukio la kwanza na halijawahi kutokea tangu mpira wa miguu uwepo hapa duniani.

Kwanza tukio hilo sio tukio la kwanza lenye utata na wala halitakuwa tukio mwisho lenye utata kweywe mpira wa miguu ,matukio yenye utata kwenye soka ni mengi sana duniani kote ikiwemo Tz ,na moja wapo ya wanufaika wakubwa wa maamuzi ya hovyo ya marefa ndani ya nchi hii ni nyinyi wenyewe Yanga.

Yanga songeni mbele mgange yajayo na mjipange msimu ujao acheni ushamba , kama ambavyo Mamelod alivyo nufaika na nyinyi kuumizwa na maamuzi mabovu ya marefa ,ndivyo na nyinyi mmekuwa mkinufaika na maamuzi ya hovyo ya marefa na kuziumiza timu nyingine hasa hapa kwenye ligi yetu.

Acheni kukuza mambo kana kwamba nyinyi ni watakatifu sana na kana kwamba nyinyi timu yenu haijawahi kunufaika na makosa ya waamuzi.
Hapa duniani kila timu ilisha nufaika na kuumizwa na maamuzi yenye utata wa waamuzi nyinyi sio wa kwanza na wala hamtakuwa wa mwisho.
Wajipange msimu ujao kwasababu 1. Wachezaji walishindwa kumzongo refa akaangalie VAR ya mchongo km wafanyavyo waarabu .2. barua walioiandika inamapungufu mengi mojawajo haijasainiwa
 
Kuwa na aibu! Nitajie tukio lingine hapa duniani ambapo refa anaenda kuangaliaa VAR ili kuipa redcard timu moja, halafu timu hiyo hiyo inapofunga goli lenye utata, anagoma kwenda kuangalia VAR. Ukinitajia, najitoa JF.
This is a very serious crime! Jambo kama hili linatosha kuifannya nchi kujivua uanachama wa CAF! Kuna haja gani sasa ya kushiriki hayo mashindano kama washindi wameshapangwa?!
Refa wa mechi ya Yanga na Namungo
 
Katika siku mbili hizi kumekuwa na mjadara na gunzo kubwa kutokana na Yanga kunyimwa goli dhidi ya Mamelod ambalo wenda lingeweza kuivusha kwenda nusu fainal ya club bingwa Africa.

Kwanza mm mwenyewe ni kili kuwa lile lilikuwa goli halali kwa uono wangu na Yanga walinyimwa goli, lakini hili tukio linakuzwa sana kupita uhalisia.

Yaani hilo tukio linavyo ongelewa utadhani ni tukio la kwanza na halijawahi kutokea tangu mpira wa miguu uwepo hapa duniani.

Kwanza tukio hilo sio tukio la kwanza lenye utata na wala halitakuwa tukio mwisho lenye utata kweywe mpira wa miguu ,matukio yenye utata kwenye soka ni mengi sana duniani kote ikiwemo Tz ,na moja wapo ya wanufaika wakubwa wa maamuzi ya hovyo ya marefa ndani ya nchi hii ni nyinyi wenyewe Yanga.

Yanga songeni mbele mgange yajayo na mjipange msimu ujao acheni ushamba , kama ambavyo Mamelod alivyo nufaika na nyinyi kuumizwa na maamuzi mabovu ya marefa ,ndivyo na nyinyi mmekuwa mkinufaika na maamuzi ya hovyo ya marefa na kuziumiza timu nyingine hasa hapa kwenye ligi yetu.

Acheni kukuza mambo kana kwamba nyinyi ni watakatifu sana na kana kwamba nyinyi timu yenu haijawahi kunufaika na makosa ya waamuzi.
Hapa duniani kila timu ilisha nufaika na kuumizwa na maamuzi yenye utata wa waamuzi nyinyi sio wa kwanza na wala hamtakuwa wa mwisho.
Swadaktaa !!
 
FB_IMG_17124695592798226.jpg
huo ushauri wapelekee Simba... Acha kupangia watu vitu vya kufanya.
 
Kuwa na aibu! Nitajie tukio lingine hapa duniani ambapo refa anaenda kuangaliaa VAR ili kuipa redcard timu moja, halafu timu hiyo hiyo inapofunga goli lenye utata, anagoma kwenda kuangalia VAR. Ukinitajia, najitoa JF.
This is a very serious crime! Jambo kama hili linatosha kuifannya nchi kujivua uanachama wa CAF! Kuna haja gani sasa ya kushiriki hayo mashindano kama washindi wameshapangwa?!
Nyinyi ndo mnatakiwa kuwa na aibu maana hata nyinyi ni wanufaika wakubwa wa maamuzi mabovu ya refa.
Kama Mamelod alivyo nufaika na maamuzi ya hovyo ya waamuzi kwenye mechi yenu ,pia na timu imesha nufaika na makosa ya marefa kwenye mechi kibao.

Ww unadha Kagera suger walikuwa hawataki ushindi baada ya refa kukataa goli lao lilio ingia ndani ya nyavu kabisa kwenye mechi yake na Yanga?
 
Wajipange msimu ujao kwasababu 1. Wachezaji walishindwa kumzongo rrefa akaangalie VAR ya mchongo km wafanyavyo waarabu .2. barua walioiandika inamapungufu mengi mojawajo haijasainiwa
Hakukuwa na haja ya kuandika hata hiyo barua maana na wao ni wanufaika wakubwa wa maamuzi mabovu ya marefa.
 
Kuwa na aibu! Nitajie tukio lingine hapa duniani ambapo refa anaenda kuangaliaa VAR ili kuipa redcard timu moja, halafu timu hiyo hiyo inapofunga goli lenye utata, anagoma kwenda kuangalia VAR. Ukinitajia, najitoa JF.
This is a very serious crime! Jambo kama hili linatosha kuifannya nchi kujivua uanachama wa CAF! Kuna haja gani sasa ya kushiriki hayo mashindano kama washindi wameshapangwa?!
Mechi ya Simba na Orlando Pirates refa alienda kuangalia VAR kwenye Faulo ya Mugalu,lkn mechi hiyo hiyo Simba alifunga clear goli refa akalikataa goli na akagoma kuangalia VAR,utopoloni a.k.a Mwakarobo Jnr a k.a MALALAMIJO FC acheni hizo nyie sie exceptional mnataka mpira wacheze wengine Kwa kuchezewa robo uwanja mechi zote mbili,halafu mnapata wapi uhalali legitimacy ya kulilia kupelekwa nusu Fainali kimiujiza Kwa goli feki.
Halafu washabiki wa Mwakarobo Jnr mlivyo shallow mnashangalia rufaa Feki kwenda CAF kama Barua ya posa uswahilini hiyo haipo kisheria tunaita 'Unavailable Remedy ' ni kama Tanzania mtu kukatia rufaa Maamuzi ya Tume ya Uchaguzi katika matokeo ya u-Rais Acheni kuwazuga washabiki wenu uamuzi wa refa ni FINAL hayo mengine ni historia,imeisha hiyo wenzenu walishaweka na fixture ya Semi- Final huko
 
Mlishaambiwa huko Utopwinyo wenye akili ni wawili. Haya mnayoongea ni kumpigia mbuzi, Gittaa Luc Emayel aliposema akili zao ni kama Masokwe yanapiga makellele na kubwabwaja tuuu mlidhani anatania. Eti wameandika barua CAF mara FIFA si vichekesho hivi???
 
Hao hawana Akili mkuu.

Baada waanze kujifunza kupiga Penalt wanakosa kosa mikwaju ya Penalt.

Azizi ki.
Dicson Job.
Ibrahim Ahmad Baka.
 
Aliyewaita mbumbumbu mashabiki wa aina hii, hakika aliwaza mbali sana.
Mbumbu ni nyinyi ambao mmekomalia goli la Mamelod hali ya kuwa nyinyi mmesha dhurumu magoli ya timu zingine na kuchota point za bure.
 
Back
Top Bottom