Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani walikatazwa kwenda kwenye Sheria?. Fety fc tulizen vijambio mmekojozwa nje ndani kaaeni muangalie wanaume wanapambana.Kwani Simba umemsikia analalamika?
Tatizo lipo kwenu nyinyi ambao mapovu yanatokana utadhani nyinyi hamjawahi kunufaika na maamuzi mabovu ya refa.
Ila CCM imeharibu Watanzania wengi. Mtu unamchukia Mtu anayedai haki yake? Kama Kagera aalionewa, Yanga waliizuia Kagera kulalamika? Yaani Kwa vile Jana ulimpiga mkeo na hakushitaki Kwa balozi, kesho ukipigwa jirani hupaswi kumshitaki Polisi? Akili gani hizi za ovyo? Kwa hiyo unategemea CAF wataamua kulingana na matukio aliyowahi kufaidika nayo Yanga?Hakukuwa na haja ya kuandika hata hiyo barua maana na wao ni wanufaika wakubwa wa maamuzi mabovu ya marefa.
Hujitambui kweli wewe, ni haki ya Yanga kikatiba kutoa malalamiko yao CAF kwa sababu wanaamini hawajatendewa haki. Refa alitakiwa kuangalia screen ili kujiridhisha kama goli au sio.Nyinyi ndo mnatakiwa kuwa na aibu maana hata nyinyi ni wanufaika wakubwa wa maamuzi mabovu ya refa.
Kama Mamelod alivyo nufaika na maamuzi ya hovyo ya waamuzi kwenye mechi yenu ,pia na timu imesha nufaika na makosa ya marefa kwenye mechi kibao.
Ww unadha Kagera suger walikuwa hawataki ushindi baada ya refa kukataa goli lao lilio ingia ndani ya nyavu kabisa kwenye mechi yake na Yanga?
Huwezi kulalamika kudhurumiwa hali yakuwa ww ndo mdhurumaji mkubwa.Ila CCM imeharibu Watanzania wengi. Mtu unamchukia Mtu anayedai haki yake? Kama Kagera aalionewa, Yanga waliizuia Kagera kulalamika? Yaani Kwa vile Jana ulimpiga mkeo na hakushitaki Kwa balozi, kesho ukipigwa jirani hupaswi kumshitaki Polisi? Akili gani hizi za ovyo? Kwa hiyo unategemea CAF wataamua kulingana na matukio aliyowahi kufaidika nayo Yanga?
Yaani nchi ijivue uanachama kwa sababu ya hicho kigoli kilichokataliwa?Jambo kama hili linatosha kuifannya nchi kujivua uanachama wa CAF!
Yanga mpaka sasa imevuna point ngapi kwenye ligi kuu kwa sababu ya makosa ya marefa ?Hujitambui kweli wewe, ni haki ya Yanga kikatiba kutoa malalamiko yao CAF kwa sababu wanaamini hawajatendewa haki. Refa alitakiwa kuangalia screen ili kujiridhisha kama goli au sio.
Hii inasaidia maamuzi yajayo yafanyike kwa haki, watu wanaamini kulikuwa na fixing kwenye mechi hiyo wewe upo busy wagange yajayo.
Utopolo mjivue nyie sisi kama nchi hatuhusikiKuwa na aibu! Nitajie tukio lingine hapa duniani ambapo refa anaenda kuangaliaa VAR ili kuipa redcard timu moja, halafu timu hiyo hiyo inapofunga goli lenye utata, anagoma kwenda kuangalia VAR. Ukinitajia, najitoa JF.
This is a very serious crime! Jambo kama hili linatosha kuifannya nchi kujivua uanachama wa CAF! Kuna haja gani sasa ya kushiriki hayo mashindano kama washindi wameshapangwa?!
Unadhani Mamelody Sundowns wenyewe wangekubali huo upumbavu wa dhuluma ya wazi kabisa na kukaa kimya tu, mbumbumbu ni janga jingine TZ ukitoa ujinga, maradhi, umaskini na rushwa.Aliyewaita mbumbumbu mashabiki wa aina hii, hakika aliwaza mbali sana.
Makolokolo pambaneni na hali zenu, sherehe si zenu mnaenda kuzivalia madera, vijora, kanga 1 na kuanza kuimba taarabu na singeli huku mkitubinulia Yanga makalio.Mechi ya Simba na Orlando Pirates refa alienda kuangalia VAR kwenye Faulo ya Mugalu,lkn mechi hiyo hiyo Simba alifunga clear goli refa akalikataa goli na akagoma kuangalia VAR,utopoloni a.k.a Mwakarobo Jnr a k.a MALALAMIJO FC acheni hizo nyie sie exceptional mnataka mpira wacheze wengine Kwa kuchezewa robo uwanja mechi zote mbili,halafu mnapata wapi uhalali legitimacy ya kulilia kupelekwa nusu Fainali kimiujiza Kwa goli feki.
Halafu washabiki wa Mwakarobo Jnr mlivyo shallow mnashangalia rufaa Feki kwenda CAF kama Barua ya posa uswahilini hiyo haipo kisheria tunaita 'Unavailable Remedy ' ni kama Tanzania mtu kukatia rufaa Maamuzi ya Tume ya Uchaguzi katika matokeo ya u-Rais Acheni kuwazuga washabiki wenu uamuzi wa refa ni FINAL hayo mengine ni historia,imeisha hiyo wenzenu walishaweka na fixture ya Semi- Final huko
Dhurumu = Dhulumu, ulienda shuleni kusomea ujinga?Mbumbu ni nyinyi ambao mmekomalia goli la Mamelod hali ya kuwa nyinyi mmesha dhurumu magoli ya timu zingine na kuchota point za bure.
Kabisa lo