Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
GSM Waliokuwa Home Shopping Centre ni wahuni toka Serikali ya Kikwete. Hawa tunawafahamu walikuwa wakifanya uhuni kukwepa kodi, baadaye alipoingia Magufuli madarakani walijifanya wamefilisika na kubadili jina luwa GSM.
Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu kinyemela nasi kwa kuwa mzee wetu Akilimali hayupo hai tumeshindwa kulitambua hilo.
GSM wanasajili team yao. Hawasajili team ya Yanga. Wanasajili team yao wakiiweka ndani ya Yanga. Huu ni Uhuni ambao tunapaswa wanayanga kuukemea.
Hakuna mtu anayefahamu kwa sasa viongozi wa Yanga wanahusika na nini. Ni kama GSM imechukua team na kuifanya yao. Tunaomba kama wanaitaka watumie taratibu ionekane ni wawekezaji au basi wainunue tujue moja.
Angalieni wenyewe hata usajili unavyofanyika. Naenda kufanyikia sijui nyumbani kwa anayesajili au sijui qapi ambako huoni hata nembo ya klabu yetu pendwa.
Uhuni wa mikataba walifanya hata kwa Tshishimbi. Walisema amesajiliwa na kurusha videos kumbe hakuwa amesajiliwa. Wameendelea mpaka kugushi barua ya Sure Boy kwenda Azam.
Hawa jamaa hawana nia njema na soka letu. Hawana nia njema na klabu yetu. Kama haki ingetendeka jana kwa suala la Morrison sisi tulitakiwa kunyang'anywa points za mechi zote alizocheza. Kuna watu walitakiwa kushtakiwa kwa kosa la kughushi mkataba.
TFF wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. GSM ni mwanaharamu.
Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu kinyemela nasi kwa kuwa mzee wetu Akilimali hayupo hai tumeshindwa kulitambua hilo.
GSM wanasajili team yao. Hawasajili team ya Yanga. Wanasajili team yao wakiiweka ndani ya Yanga. Huu ni Uhuni ambao tunapaswa wanayanga kuukemea.
Hakuna mtu anayefahamu kwa sasa viongozi wa Yanga wanahusika na nini. Ni kama GSM imechukua team na kuifanya yao. Tunaomba kama wanaitaka watumie taratibu ionekane ni wawekezaji au basi wainunue tujue moja.
Angalieni wenyewe hata usajili unavyofanyika. Naenda kufanyikia sijui nyumbani kwa anayesajili au sijui qapi ambako huoni hata nembo ya klabu yetu pendwa.
Uhuni wa mikataba walifanya hata kwa Tshishimbi. Walisema amesajiliwa na kurusha videos kumbe hakuwa amesajiliwa. Wameendelea mpaka kugushi barua ya Sure Boy kwenda Azam.
Hawa jamaa hawana nia njema na soka letu. Hawana nia njema na klabu yetu. Kama haki ingetendeka jana kwa suala la Morrison sisi tulitakiwa kunyang'anywa points za mechi zote alizocheza. Kuna watu walitakiwa kushtakiwa kwa kosa la kughushi mkataba.
TFF wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. GSM ni mwanaharamu.