Yanga tukatae Uhuni wa GSM huko mbeleni tutajuta

Yanga tukatae Uhuni wa GSM huko mbeleni tutajuta

Issue kubwa ni weledi kwenye club zetu hizi. Ukiwaangalia viongozi wa club zetu hizi hawana nia ya kuzifanya kuwa na tija. Ukiwauliza wanasema shida ni pesa, hivi unakampuni au biashara inayopendwa kama simba na yanga unakosaje hela? Ukiwa na t shirt za kawaida tu 100000, ukaziuza kwa kawaida tu, unakaribia b,Zahera aliwaonyesha pia, watu wanapenda club zao, ukiwaambia wachangie wanachanga. Viongozi wanashindwaje kuleta wachezaji watano bora, wakigeni,nasema bora nikimaanisha bora kutoka ligi bora afrika. Waungane na wazawa bora wakachukua kombe la Africa na hivyo wakapata pesa? Au wakachukuwa vijana wadogo maeneo mbalimbali wakawalea wakawauza? Hivi viongozi gani hawa tulio nao?
Tatizo ni wanachama, wapenzi wana uchungu mkubwa kuliko wanachama lakini wanachama wana uwezo mkubwa wa kubadirisha hivi vilabu lakini wanaangalia maslahi yao binafsi.
Hivi inakuaje jezi za simba na yanga zinauzwa kienyeji badala ya kuuzwa kwenye maduka yanayotambulika. Hapo kuna ujanjajanja unaofanyika ndio maana wameruhusu hivyo.
 
Siyo lazima kuchangia hela hata mawazo kama hivi ni mchango tosha,usiabudu hela hela siku zote huwa tamu pale imepatikana au imetumika kwa njia sahihi na matokeo yakaonekana.

Mimi siyo mwana Yanga but ni kweli hawa jamaa wanafanya uhuni na hii club kwa sababu wanazozijua wao na wasipoangaliwa ipo siku watafanya madudu Yanga ikamatwe uchawi na wao waikimbie na itakuwa ni humu humu kwenye mikataba,hivi mnajua hawa kabla ya kujiita Discount Centre wakiitwa Home Shopping Centre na hili jina la sasa walianza kulitumia siku moja kabla Magufuli hajaapishwa?na siyo siku moja coz bango la HsC lilitolewa saa 11 jioni likapachikwa la DC so siku rais anaapishwa DC ni mtoto aliyekuwa na masaa machache tu.

Kwanini walifanya hivi?majibu mnayo!
Ukiangalia Simba kumpata Senzo walitangaza ajira watu wakaomba wakachujwa lakini Gsm ameshindwa kutangaza nafasi watu waombe apate mtu anayefaa, ndio maana Simba inaitwa next level maana inachofanya yanga ni kufika pale alipo Simba na sio kufikiria kumpita Simba.
 
Mkuu inawezekana usemalo ni sahihi... But. The reality is yanga wanahitaji mwekezaj mwenye pesa... Bila hilo hakuna litakalofanikiwa yanga zaid ya maneno tu... Duu umasikini unaweza sababisha ukauza hata mkeo ili usiaibike.....
Sawa unachosema ila kusiwe na janja janja basi, maana GSM wanajidai wanaisaidia tuu kuwa club ya kisasa kumbe wameingia na miguu yote kwa mlango wa nyuma. Awe kama Mo apige kistaarabu. Anasajili timu yake, ye ndo mlipa mishaara mkimzingua hamna timu. Wachezaji watiifu kwa GSM sio Yanga.
 
antonionugaz_20200813_150144_0.jpg
 
Mikia mnaogopa sana ushindani, tunajua kwamba kila anayehitokeza kuifafhili Yanga lazima muanzishe chokochoko. Safari hii mmeingia choo cha kike
 
GSM Waliokuwa Home Shopping Centre ni wahuni toka Serikali ya Kikwete. Hawa tunawafahamu walikuwa wakifanya uhuni kukwepa kodi, baadaye alipoingia Magufuli madarakani walijifanya wamefilisika na kubadili jina luwa GSM.

Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu kinyemela nasi kwa kuwa mzee wetu Akilimali hayupo hai tumeshindwa kulitambua hilo.

GSM wanasajili team yao. Hawasajili team ya Yanga. Wanasajili team yao wakiiweka ndani ya Yanga. Huu ni Uhuni ambao tunapaswa wanayanga kuukemea.

Hakuna mtu anayefahamu kwa sasa viongozi wa Yanga wanahusika na nini. Ni kama GSM imechukua team na kuifanya yao. Tunaomba kama wanaitaka watumie taratibu ionekane ni wawekezaji au basi wainunue tujue moja.

Angalieni wenyewe hata usajili unavyofanyika. Naenda kufanyikia sijui nyumbani kwa anayesajili au sijui qapi ambako huoni hata nembo ya klabu yetu pendwa.

Uhuni wa mikataba walifanya hata kwa Tshishimbi. Walisema amesajiliwa na kurusha videos kumbe hakuwa amesajiliwa. Wameendelea mpaka kugushi barua ya Sure Boy kwenda Azam.

Hawa jamaa hawana nia njema na soka letu. Hawana nia njema na klabu yetu. Kama haki ingetendeka jana kwa suala la Morrison sisi tulitakiwa kunyang'anywa points za mechi zote alizocheza. Kuna watu walitakiwa kushtakiwa kwa kosa la kughushi mkataba.

TFF wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. GSM ni mwanaharamu.


Umetumwa na nan aiseeeee
 
GSM Waliokuwa Home Shopping Centre ni wahuni toka Serikali ya Kikwete. Hawa tunawafahamu walikuwa wakifanya uhuni kukwepa kodi, baadaye alipoingia Magufuli madarakani walijifanya wamefilisika na kubadili jina luwa GSM.

Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu kinyemela nasi kwa kuwa mzee wetu Akilimali hayupo hai tumeshindwa kulitambua hilo.

GSM wanasajili team yao. Hawasajili team ya Yanga. Wanasajili team yao wakiiweka ndani ya Yanga. Huu ni Uhuni ambao tunapaswa wanayanga kuukemea.

Hakuna mtu anayefahamu kwa sasa viongozi wa Yanga wanahusika na nini. Ni kama GSM imechukua team na kuifanya yao. Tunaomba kama wanaitaka watumie taratibu ionekane ni wawekezaji au basi wainunue tujue moja.

Angalieni wenyewe hata usajili unavyofanyika. Naenda kufanyikia sijui nyumbani kwa anayesajili au sijui qapi ambako huoni hata nembo ya klabu yetu pendwa.

Uhuni wa mikataba walifanya hata kwa Tshishimbi. Walisema amesajiliwa na kurusha videos kumbe hakuwa amesajiliwa. Wameendelea mpaka kugushi barua ya Sure Boy kwenda Azam.

Hawa jamaa hawana nia njema na soka letu. Hawana nia njema na klabu yetu. Kama haki ingetendeka jana kwa suala la Morrison sisi tulitakiwa kunyang'anywa points za mechi zote alizocheza. Kuna watu walitakiwa kushtakiwa kwa kosa la kughushi mkataba.

TFF wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. GSM ni mwanaharamu.


Vyema uiache Yanga mjadili mambo yenu huko Mikia.
Mo kawaletea nembo mpya kaondoa msemo Nguvu Moja. Mna tajiri mmoja sio nguvu moja.
 
Nyie ndo mnasababishwa tuitwe nyani au mbwa kwa akili hizi.

Vyema uiache Yanga mjadili mambo yenu huko Mikia.
Mo kawaletea nembo mpya kaondoa msemo Nguvu Moja. Mna tajiri mmoja sio nguvu moja.
 
1: Pale ni jangwani HQ angalia clip ya tuisila na mukoko wakiwa jangwani siku ya mapokezi yao
2: kuhusu utambulisho vipi kuhusu salpong na carinhos
 
Mikia katika ubora wao
GSM Waliokuwa Home Shopping Centre ni wahuni toka Serikali ya Kikwete. Hawa tunawafahamu walikuwa wakifanya uhuni kukwepa kodi, baadaye alipoingia Magufuli madarakani walijifanya wamefilisika na kubadili jina luwa GSM.

Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu kinyemela nasi kwa kuwa mzee wetu Akilimali hayupo hai tumeshindwa kulitambua hilo.

GSM wanasajili team yao. Hawasajili team ya Yanga. Wanasajili team yao wakiiweka ndani ya Yanga. Huu ni Uhuni ambao tunapaswa wanayanga kuukemea.

Hakuna mtu anayefahamu kwa sasa viongozi wa Yanga wanahusika na nini. Ni kama GSM imechukua team na kuifanya yao. Tunaomba kama wanaitaka watumie taratibu ionekane ni wawekezaji au basi wainunue tujue moja.

Angalieni wenyewe hata usajili unavyofanyika. Naenda kufanyikia sijui nyumbani kwa anayesajili au sijui qapi ambako huoni hata nembo ya klabu yetu pendwa.

Uhuni wa mikataba walifanya hata kwa Tshishimbi. Walisema amesajiliwa na kurusha videos kumbe hakuwa amesajiliwa. Wameendelea mpaka kugushi barua ya Sure Boy kwenda Azam.

Hawa jamaa hawana nia njema na soka letu. Hawana nia njema na klabu yetu. Kama haki ingetendeka jana kwa suala la Morrison sisi tulitakiwa kunyang'anywa points za mechi zote alizocheza. Kuna watu walitakiwa kushtakiwa kwa kosa la kughushi mkataba.

TFF wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. GSM ni mwanaharamu.


 
MO alivyomsainisha Okwi sebuleni kwake ulihoji, MO alivyomuongezea Kagere mkataba chumbani kwake ulilamika

Mbumbumbu Fc mnateseka sana huu mwaka, amini nakwambia tutawanyoosha
GSM Waliokuwa Home Shopping Centre ni wahuni toka Serikali ya Kikwete. Hawa tunawafahamu walikuwa wakifanya uhuni kukwepa kodi, baadaye alipoingia Magufuli madarakani walijifanya wamefilisika na kubadili jina luwa GSM.

Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu kinyemela nasi kwa kuwa mzee wetu Akilimali hayupo hai tumeshindwa kulitambua hilo.

GSM wanasajili team yao. Hawasajili team ya Yanga. Wanasajili team yao wakiiweka ndani ya Yanga. Huu ni Uhuni ambao tunapaswa wanayanga kuukemea.

Hakuna mtu anayefahamu kwa sasa viongozi wa Yanga wanahusika na nini. Ni kama GSM imechukua team na kuifanya yao. Tunaomba kama wanaitaka watumie taratibu ionekane ni wawekezaji au basi wainunue tujue moja.

Angalieni wenyewe hata usajili unavyofanyika. Naenda kufanyikia sijui nyumbani kwa anayesajili au sijui qapi ambako huoni hata nembo ya klabu yetu pendwa.

Uhuni wa mikataba walifanya hata kwa Tshishimbi. Walisema amesajiliwa na kurusha videos kumbe hakuwa amesajiliwa. Wameendelea mpaka kugushi barua ya Sure Boy kwenda Azam.

Hawa jamaa hawana nia njema na soka letu. Hawana nia njema na klabu yetu. Kama haki ingetendeka jana kwa suala la Morrison sisi tulitakiwa kunyang'anywa points za mechi zote alizocheza. Kuna watu walitakiwa kushtakiwa kwa kosa la kughushi mkataba.

TFF wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. GSM ni mwanaharamu.


 
Kwenye suala hili GSM unawaonea, wa kulaumiwa ni uongozi wa Yanga.
GSM wana makubaliano maalum na uongozi wa Yanga, kama kuna kitu hakiendi sawa ndani ya Yanga waulizeni viongozi wenu kwenye vikao vyenu.
 
MO alivyomsainisha Okwi sebuleni kwake ulihoji, MO alivyomuongezea Kagere mkataba chumbani kwake ulilamika

Mbumbumbu Fc mnateseka sana huu mwaka, amini nakwambia tutawanyoosha

Kwahiyo kwa sasa mko ktk hiyo stage ya “enzi za Mo kumsainisha Okwi na Kagere” ambayo Simba wameshaivuka kitambo?
 
Stage according to who?

Mpo stage ya kuvizia wachezaji wa timu nyingine airport na

Stage ya mmiliki wa timu kuwa hivi

Ni wonder Senzo aliondoka
Kwahiyo kwa sasa mko ktk hiyo stage ya “enzi za Mo kumsainisha Okwi na Kagere” ambayo Simba wameshaivuka kitambo?
officialmwalubadu___CEOq7YApqP8___.jpeg
IMG-20200825-WA0003.jpeg
 
Back
Top Bottom