Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko dunia ipi wewe?Kama hujui
Ni Bora ukae kimya
HSC ikawa GSM....?!!!!
Ongelea yale unayoyajua Chief
Umeongea vyema. Simba haikosi Japo wanachama 1Mil wa kuchanga 1,000/- monthly. Hii ni exactly 1bil, toa charges za makampuni ya kati (intermediaries) kama Selcom, Tigo, TRA kama wanahusika, hatukosi hata 0.7Bil monthly. Hii ni mbali na Jezi, Skafu, Key holders, etcIssue kubwa ni weledi kwenye club zetu hizi. Ukiwaangalia viongozi wa club zetu hizi hawana nia ya kuzifanya kuwa na tija. Ukiwauliza wanasema shida ni pesa, hivi unakampuni au biashara inayopendwa kama simba na yanga unakosaje hela? Ukiwa na t shirt za kawaida tu 100000, ukaziuza kwa kawaida tu, unakaribia b,Zahera aliwaonyesha pia, watu wanapenda club zao, ukiwaambia wachangie wanachanga. Viongozi wanashindwaje kuleta wachezaji watano bora, wakigeni,nasema bora nikimaanisha bora kutoka ligi bora afrika. Waungane na wazawa bora wakachukua kombe la Africa na hivyo wakapata pesa? Au wakachukuwa vijana wadogo maeneo mbalimbali wakawalea wakawauza? Hivi viongozi gani hawa tulio nao?
waswahili bana hivi hao mikia unawajua vizuri au ulikurupuka tu kuweka uzi hapaGSM Waliokuwa Home Shopping Centre ni wahuni toka Serikali ya Kikwete. Hawa tunawafahamu walikuwa wakifanya uhuni kukwepa kodi, baadaye alipoingia Magufuli madarakani walijifanya wamefilisika na kubadili jina luwa GSM.
Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu kinyemela nasi kwa kuwa mzee wetu Akilimali hayupo hai tumeshindwa kulitambua hilo.
GSM wanasajili team yao. Hawasajili team ya Yanga. Wanasajili team yao wakiiweka ndani ya Yanga. Huu ni Uhuni ambao tunapaswa wanayanga kuukemea.
Hakuna mtu anayefahamu kwa sasa viongozi wa Yanga wanahusika na nini. Ni kama GSM imechukua team na kuifanya yao. Tunaomba kama wanaitaka watumie taratibu ionekane ni wawekezaji au basi wainunue tujue moja.
Angalieni wenyewe hata usajili unavyofanyika. Naenda kufanyikia sijui nyumbani kwa anayesajili au sijui qapi ambako huoni hata nembo ya klabu yetu pendwa.
Uhuni wa mikataba walifanya hata kwa Tshishimbi. Walisema amesajiliwa na kurusha videos kumbe hakuwa amesajiliwa. Wameendelea mpaka kugushi barua ya Sure Boy kwenda Azam.
Hawa jamaa hawana nia njema na soka letu. Hawana nia njema na klabu yetu. Kama haki ingetendeka jana kwa suala la Morrison sisi tulitakiwa kunyang'anywa points za mechi zote alizocheza. Kuna watu walitakiwa kushtakiwa kwa kosa la kughushi mkataba.
TFF wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. GSM ni mwanaharamu.
Huko tushatoka ,,waswahili bana hivi hao mikia unawajua vizuri au ulikurupuka tu kuweka uzi hapa View attachment 1536494
kwa sasa mko wapi?Huko tushatoka ,,
waswahili bana hivi hao mikia unawajua vizuri au ulikurupuka tu kuweka uzi hapa View attachment 1536494
We kama jina la jimbo la watu tu unakosea utakuwa na uelewa mzuri kweli? Ndo mnasababisha hawa wehu watuite sisi nyani/mbwa. Siyo carifonia ni california.
Unafukua makaburi[emoji1] @ Another levelwaswahili bana hivi hao mikia unawajua vizuri au ulikurupuka tu kuweka uzi hapa View attachment 1536494
Mjini kaja juzi mkuu achana nae hata Ghalibu hamjui,au yule mdogo mtu wanamwita scar face sallah.Wewe ndo hujui,
GSM ndio hao hao waliokua HSC
hapo Hakuna cha another level mikia ni kikundi cha majangili kikiongozwa na Mudi na kulindwa na TFFUnafukua makaburi[emoji1] @ Another level
Wewe una mchango upi kwenye timu? achana kauli za kimaskini, mpira ni pesa sio maneno ya kipumbavu
Siyo lazima kuchangia hela hata mawazo kama hivi ni mchango tosha,usiabudu hela hela siku zote huwa tamu pale imepatikana au imetumika kwa njia sahihi na matokeo yakaonekana.Wewe binafsi..umechangia kiasi gani kwaajili ya usajili wa club yetu pendwa mkuu
Wewe unachokataa nini?mmiliki wa GSM ni Ghalib mdogo wake Said wa HSC ambayo sasa wanajiita Discount Centre.Kama hujui
Ni Bora ukae kimya
HSC ikawa GSM....?!!!!
Ongelea yale unayoyajua Chief