Yanga tumefanyiwa udhalilishaji mkubwa sana. Naona hata aibu

Yanga tumefanyiwa udhalilishaji mkubwa sana. Naona hata aibu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Tuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma. Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?

Chama mzee ana miaka 30 Simba wamemuuza kwa usd 500,000 hebu fikiria mwenyewe USD 500,000 Sisi Kisinda Usd 150,000 nazo tunagawana. Yaani tumeambulia tu offer ya kupewa Kambi Morroco kwa kuwa Simba nao wapo huko.

Huu ni udhalilishaji. Ni mikataba ile ile ya Kichief Mangungo wa Msovero. Senzo wewe tulitegemea una uzoefu mkubwa mbona unatuchuuza unapiga cha juu?

MNALIPIWA KAMBI NA WAARABU? MNAKUBALI. YAANI KILA MKILALA NA KUAMKA MNAAMBIWA MMESHALIPIWA?
 
Yanga kuifananisha na simba ni kuionea tu......
Mvumilivu hula mbivu hiki kikosi cha yanga kikitulia vizuri na msipowalaumu marefa😂 mtafanikiwa
 
Team haifi...tumetumia B21 ndani ya miaka4. Sasa tunataka irudi hiyo hela haraka iwezekanavyo ndani ya muda mfupi😂😂tunajaribu kuona hata kama tunawez kuuza na baadhi ya mashabiki ili tufidie hiyo hela kwa haraka😂😂
 
Tuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma.... Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?....
Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu! Sasa hizo bilioni karibia 3 za kumuuza huyo Chama na Louis ziko wapi?

Au Mwamedi ameshazichukua kama malipo ya uendeshaji wa timu?
 
Back
Top Bottom