Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Unataka uzipige picha?Sasa hizo bilioni karibia 3 za kumuuza huyo Chama na Louis ziko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka uzipige picha?Sasa hizo bilioni karibia 3 za kumuuza huyo Chama na Louis ziko wapi?
Nyie nyani wa pori la Utopolo kipindi chenu cha kufurahia ni wakati wa usajili tu,ligi ikianza ni malalamiko mwanzo mwisho.GSM anawageuza geuza kama chapati vile nanyi mnabaki kukenua kenua tu shauri yenuSubiri msimu utakapoanza, ndipo uulize hili swali.
Maneno haya ni dalili za mhaho uliopo upande wa Simbilisi. The party is almost over.Tuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma.... Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?
Chama mzee ana miaka 30 Simba wamemuuza kwa usd 500,000 hebu fikiria mwenyewe USD 500,000 Sisi Kisinda Usd 150,000 nazo tunagawana. Yaani tumeambulia tu offer ya kupewa Kambi Morroco kwa kuwa Simba nao wapo huko.
Huu ni udhalilishaji. Ni mikataba ile ile ya Kichief Mangungo wa Msovero. Senzo wewe tulitegemea una uzoefu mkubwa mbona unatuchuuza unapiga cha juu?
MNALIPIWA KAMBI NA WAARABU? MNAKUBALI. YAANI KILA MKILALA NA KUAMKA MNAAMBIWA MMESHALIPIWA?
Wewe subiri kichapo Cha mmbwa mwizi Tarehe 25. Utajuta kuikandia Yanga. Maswala ya bei ya kumuuza mchezaji ni maelewano kati ya club na clubTuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma.... Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?
Chama mzee ana miaka 30 Simba wamemuuza kwa usd 500,000 hebu fikiria mwenyewe USD 500,000 Sisi Kisinda Usd 150,000 nazo tunagawana. Yaani tumeambulia tu offer ya kupewa Kambi Morroco kwa kuwa Simba nao wapo huko.
Huu ni udhalilishaji. Ni mikataba ile ile ya Kichief Mangungo wa Msovero. Senzo wewe tulitegemea una uzoefu mkubwa mbona unatuchuuza unapiga cha juu?
MNALIPIWA KAMBI NA WAARABU? MNAKUBALI. YAANI KILA MKILALA NA KUAMKA MNAAMBIWA MMESHALIPIWA?
Kidume kashalipia guest anasubiria demu aende ...safari hii mnatoa nyuma mwiko unaingiza ukuni😂😂😂😂😂Wewe subiri kichapo Cha mmbwa mwizi Tarehe 25.Utajuta kuikandia Yanga.Maswala ya bei ya kumuuza mchezaji ni maelewano kati ya club na club
Na ninyi huko Morocco msipokaa sawa mtarudi na makipa tu TZ maana hadi Mugalu hatarudiKidume kashalipia guest anasubiria demu aende ...safari hii mnatoa nyuma mwiko unaingiza ukuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kidume kashalipia guest anasubiria demu aende ...safari hii mnatoa nyuma mwiko unaingiza ukuni😂😂😂😂😂Na ninyi huko Morocco msipokaa sawa mtarudi na makipa tu TZ maana hadi mugalu hatarudi
yakheeee UTO mmeshalipiwa...Team haifi...tumetumia B21 ndani ya miaka4..Sasa tunataka irudi hiyo hela haraka iwezekanavyo ndani ya muda mfupi😂😂tunajaribu kuona hata kama tunawez kuuza na baadhi ya mashabiki ili tufidie hiyo hela kwa haraka😂😂
Nikajua yuko na mama yakoTulieni mashabiki wa Simba hizo hela za.chama na luiz mwanedi yupo 5* hotel na bi babrah akiwa na bikini TU wanatumbua
Endeleeni kumuamin mud na mwakan atawaambia anawadai Bado
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Chama bei yake mpaka sasa kwa mujibu wa msemaji wao ni siri.Tuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma.... Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?
Chama mzee ana miaka 30 Simba wamemuuza kwa usd 500,000 hebu fikiria mwenyewe USD 500,000 Sisi Kisinda Usd 150,000 nazo tunagawana. Yaani tumeambulia tu offer ya kupewa Kambi Morroco kwa kuwa Simba nao wapo huko.
Huu ni udhalilishaji. Ni mikataba ile ile ya Kichief Mangungo wa Msovero. Senzo wewe tulitegemea una uzoefu mkubwa mbona unatuchuuza unapiga cha juu?
MNALIPIWA KAMBI NA WAARABU? MNAKUBALI. YAANI KILA MKILALA NA KUAMKA MNAAMBIWA MMESHALIPIWA?
Nyinyi ndo mana mnajiita utopolo/utaputapu hivyo wewe huoni hao wachezaji wanaosajiliwa au unadhani wanalipwa majani,,, au wewe ulitaka hizo tugawane mashabiki labda ndo uamini kama zimetumika,, afu mo anawatesa sana uto na yule yupo sana simbaNyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu! Sasa hizo bilioni karibia 3 za kumuuza huyo Chama na Louis ziko wapi?
Au Mwamedi ameshazichukua kama malipo ya uendeshaji wa timu?
Point of correction! Acha kumfananisha chama na vitu vya ajabu acha.Tuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma. Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?
Chama mzee ana miaka 30 Simba wamemuuza kwa usd 500,000 hebu fikiria mwenyewe USD 500,000 Sisi Kisinda Usd 150,000 nazo tunagawana. Yaani tumeambulia tu offer ya kupewa Kambi Morroco kwa kuwa Simba nao wapo huko.
Huu ni udhalilishaji. Ni mikataba ile ile ya Kichief Mangungo wa Msovero. Senzo wewe tulitegemea una uzoefu mkubwa mbona unatuchuuza unapiga cha juu?
MNALIPIWA KAMBI NA WAARABU? MNAKUBALI. YAANI KILA MKILALA NA KUAMKA MNAAMBIWA MMESHALIPIWA?
Yaani ndo umelopoka kama mbwa tena koko. Ko hizo hela ulitaka klabu ije igawe kwa mashabiki ndo ujue hela zipo?Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu! Sasa hizo bilioni karibia 3 za kumuuza huyo Chama na Louis ziko wapi?
Au Mwamedi ameshazichukua kama malipo ya uendeshaji wa timu?
Hahahaaa Kwan Manara kauzwa sh ngap?Team haifi...tumetumia B21 ndani ya miaka4. Sasa tunataka irudi hiyo hela haraka iwezekanavyo ndani ya muda mfupi😂😂tunajaribu kuona hata kama tunawez kuuza na baadhi ya mashabiki ili tufidie hiyo hela kwa haraka😂😂
Sikiliza, kwanza elewa yanga walipanga kwenda Misri, waliposikia yanga wanaenda Morroco nao wakageuza wakaenda huko, pili hiyo bei waliyaitaja yanga ni halisi bei ya simba ni fekiTuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma. Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?
Chama mzee ana miaka 30 Simba wamemuuza kwa usd 500,000 hebu fikiria mwenyewe USD 500,000 Sisi Kisinda Usd 150,000 nazo tunagawana. Yaani tumeambulia tu offer ya kupewa Kambi Morroco kwa kuwa Simba nao wapo huko.
Huu ni udhalilishaji. Ni mikataba ile ile ya Kichief Mangungo wa Msovero. Senzo wewe tulitegemea una uzoefu mkubwa mbona unatuchuuza unapiga cha juu?
MNALIPIWA KAMBI NA WAARABU? MNAKUBALI. YAANI KILA MKILALA NA KUAMKA MNAAMBIWA MMESHALIPIWA?
Tuisila Kisinda ana miaka 21 anakimbia sana, anakimbia kama Duma. Bado umri unalipa tunamuuza kwa Usd 150,000 na kubembeleza kuwa tugharamiwe Kambi Morocco sababu Simba wameenda huko?
Chama mzee ana miaka 30 Simba wamemuuza kwa usd 500,000 hebu fikiria mwenyewe USD 500,000 Sisi Kisinda Usd 150,000 nazo tunagawana. Yaani tumeambulia tu offer ya kupewa Kambi Morroco kwa kuwa Simba nao wapo huko.
Huu ni udhalilishaji. Ni mikataba ile ile ya Kichief Mangungo wa Msovero. Senzo wewe tulitegemea una uzoefu mkubwa mbona unatuchuuza unapiga cha juu?
MNALIPIWA KAMBI NA WAARABU? MNAKUBALI. YAANI KILA MKILALA NA KUAMKA MNAAMBIWA MMESHALIPIWA?