Yanga tumefanyiwa udhalilishaji mkubwa sana. Naona hata aibu

We sio yanga we ni Simba acha kutuchezea
 

A national team player
Two times mvp
Top assist
8 premier league gosls
Two medals
Asee unamlinganisha na
Tk master
Title 0
Goals 2
Assist 0
Medals 0
Nationsl team player 😂
 
Wachezaji wa mkopo hao. Kisinda hakuwa mchezaji wa Yanga, Wala siyo Yanga wamemuuza.
 
We unabisha nn. Unapokataa hoja unaweka mbadala. Ukisema ni uongo lazima useme ukweli wenyewe ndivyo wenye ubongo wanafanya.
Hapana, unapotoa taarifa lazima uwe na source, maana hakuna taarifa rasmi kutoka Club zote hizo kuhusu kuuzwa kwa hao wachezaji na gharama zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…