Yanga tumejifunza nini na uwezo wa kocha wa simba?

Yanga tumejifunza nini na uwezo wa kocha wa simba?

Bila kujari wewe ni Yanga fan au ni Kolo FC kikubwa umeongea point... Inabidi tulifanyie kazi hili maana unaonesha kutupenda sana Wananchi japo wewe ni Kolo😆 ili tuendelee kuwapakuwa Kila tukikutana
 
Mwisho wa siku kolo akafa[emoji23][emoji23]acheni kujifariji
 
Kimsingi kocha kaibadilisha simba kwanza namna inavyopress na spidi imeongezeka tofauti na mwanzo,DM akipatikana na wakiweza kumchezesha yule zungu mashabiki hoyahoya watatulia
Mimi ni shabiki wa Simba nilivyoona kile kikosi na jinsu tulivyocheza nkasema kocha tuliye nae ni kocha mkubwa sana kwwnye swala la mbinu sema mashabiki oya oya hawawezi kuliona ilo kisa matokeo ys mwisho yalivyokua

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Na kuichukulia uto poa
Tatizo kubwa la kocha wa Simba ni sub aliyofanya. Kumtia Kanoute, chama na Kibu. Hawa walikuwa ameubeba mchezo pale Katikati. Kanoute alikuwa anaharibu sana pale Katikati, chama alikuwa anapenyeza. Kibu alikuwa na power, nguvu
 
Kimsingi kocha kaibadilisha simba kwanza namna inavyopress na spidi imeongezeka tofauti na mwanzo,DM akipatikana na wakiweza kumchezesha yule zungu mashabiki hoyahoya watatulia
Kabisa mi kwa kile kikosi sikutegemea ,nlichojifunza ni wachezaji walicheza kitimu

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Kanoute substitution ndo ilimaliza game watu wanamlaumu ila alikuwa sahihi kumtoa kwasababu alikuwa na kadi ya njano na angeendelea angepata red card maana alikuwa anafanya makosa na rafu zinazojirudia ila kuwatoa kanoute na mkude ndani ya mda mchache ndo mpira ulibadilika hapo yule kanoute mtu sana akipunguza kucheza rafu atakuwa vizuri ni kama feisal wakati anaanza kucheza yanga alikuwa anacheza rafu kama kanoute.
Yeah sub ya kanoute ilitokana na kadi yake ile ya njano aliyopata ila kati tulikua tumewazidi...nina uhakika mechi ijayo tunawafunga

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Simba walifanya uzembe upi? Vp Yanga haikufanya uzembe Simba kupata goli kipindi cha kwanza??

KOLO unajifanya YANGA.
Shida yako mada ya mbinu na ufundi unataka kuijadili kimahaba. Jaribu kufatilia vyema humu, mimi ni mshabiki wa Yanga niliyeanza kuupenda mpira kabla ya kupenda timu.

Simba waliizidi Yanga kimbinu kipindi cha kwanza chote, Simba wakipoteza mipira walikuwa wanawahi sana kurejea umiliki, pasi zao zilikuwa zinafika, wakapiga mipira mingi ya hatari golini kwa Yanga.

Wachezaji wa Yanga walikuwa hawawezi kufikisha hata pasi kumi mipira mingi ilikuwa inaporwa ama kupiga pasi mbovu. Timu ya Yanga ilizidiwa kipindi cha kwanza na wala sio swala la uzembe. Bahati ya Nabi ni Simba kutopata magoli mengi kipindi cha kwanza.
 
Shida yako mada ya mbinu na ufundi unataka kuijadili kimahaba. Jaribu kufatilia vyema humu, mimi ni mshabiki wa Yanga niliyeanza kuupenda mpira kabla ya kupenda timu.

Simba waliizidi Yanga kimbinu kipindi cha kwanza chote, Simba wakipoteza mipira walikuwa wanawahi sana kurejea umiliki, pasi zao zilikuwa zinafika, wakapiga mipira mingi ya hatari golini kwa Yanga.

Wachezaji wa Yanga walikuwa hawawezi kufikisha hata pasi kumi mipira mingi ilikuwa inaporwa ama kupiga pasi mbovu. Timu ya Yanga ilizidiwa kipindi cha kwanza na wala sio swala la uzembe. Bahati ya Nabi ni Simba kutopata magoli mengi kipindi cha kwanza.
Ww jamaa lini ukawa yanga siku zote ni kuinanga yanga.
 
Simba iliizidi Yanga kwa kila kitu katika kipindi cha kwanza. Ni kikubwa ni kiungo ndio kilichozidiwa, pamoja na kwamba watu wanampongeza Nabi kwa kufanya sub lakini kwa upande wangu naweza sema msaada pekee wa Yanga kupata ushindi ni uzembe wa wachezaji wa Simba. Kipindi cha kwanza walipoteana mazima ilipaswa wapate magoli zaidi ya moja na kuumaliza mchezo. Kocha wa Yanga anapaswa ajifunze kuchukua maamuzi ya mapema pindi anapoona mapungufu. Asikariri eti mpaka halftime ndipo uje na plan B ya mchezo

Yanga tulishinda kutokana na uzembe wao wachezaji wa Simba kipindi cha kwanza.
Ndio maana yake, kwamba ili ufungwe lazima ufanye huo uzembe au makosa.
 
Shida yako mada ya mbinu na ufundi unataka kuijadili kimahaba. Jaribu kufatilia vyema humu, mimi ni mshabiki wa Yanga niliyeanza kuupenda mpira kabla ya kupenda timu.

Simba waliizidi Yanga kimbinu kipindi cha kwanza chote, Simba wakipoteza mipira walikuwa wanawahi sana kurejea umiliki, pasi zao zilikuwa zinafika, wakapiga mipira mingi ya hatari golini kwa Yanga.

Wachezaji wa Yanga walikuwa hawawezi kufikisha hata pasi kumi mipira mingi ilikuwa inaporwa ama kupiga pasi mbovu. Timu ya Yanga ilizidiwa kipindi cha kwanza na wala sio swala la uzembe. Bahati ya Nabi ni Simba kutopata magoli mengi kipindi cha kwanza.
Sasa kama Yanga alizidiwa kipindi cha kwanza kihivyo kwa nini sasa Simba hakupata magoli mengi kipindi hicho basi.

Mnachambua baadaye mnaharibu kwa kuleta ushabik.
 
Shida yako mada ya mbinu na ufundi unataka kuijadili kimahaba. Jaribu kufatilia vyema humu, mimi ni mshabiki wa Yanga niliyeanza kuupenda mpira kabla ya kupenda timu.

Simba waliizidi Yanga kimbinu kipindi cha kwanza chote, Simba wakipoteza mipira walikuwa wanawahi sana kurejea umiliki, pasi zao zilikuwa zinafika, wakapiga mipira mingi ya hatari golini kwa Yanga.

Wachezaji wa Yanga walikuwa hawawezi kufikisha hata pasi kumi mipira mingi ilikuwa inaporwa ama kupiga pasi mbovu. Timu ya Yanga ilizidiwa kipindi cha kwanza na wala sio swala la uzembe. Bahati ya Nabi ni Simba kutopata magoli mengi kipindi cha kwanza.
Acha upimbi wewe, sasa nani alitakiwa kujifunza kwa mwenzake pale? AZIZ KI peke yake alitengeneza Chance za magoli 4 ambapo 1 ilikuwa goli, 2 Mayele alikosa, na moja Morrison alikokota kubwa.

YANGA HAINA LA KUJIFUNZA LOLOTE KWA MAANA SIMBA ALIZIDIWA KILA MAHALI ILE GAME, MFUMO WA SIMBA ULIKUWA 4-2-3-1 kwa akili yako huo mfumo ni wa kushambulia au Kuzuia??

Haya lete hapa takwimu za chance ambazo zilikuwa created na SIMBA siku ile zaidi ya YANGA.
 
Back
Top Bottom