magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Duh hadi Chama kaka Mhasibu?Wote Baleke, Dube na Chama, viwango vya kawaida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hadi Chama kaka Mhasibu?Wote Baleke, Dube na Chama, viwango vya kawaida sana
Mkuu najua unaelewa maana ya kawaida. Sio mtu wa kushtua, ndio maana hata sisi tumemshukuru kwa sababu atatoa gap la kusajili mashine ya kazi zaidi yake. Labda yanga wamemsajili kwa sababu zingine ila kuhusu kiwango kwa pesa zile wangepata mashine kali yenye speed zaidi yakeDuh hadi Chama kaka Mhasibu?
Na hapa ndipo tofauti ilipo. Viongozi walishasema kitambo wachezaji wote muhimu watabakishwa kikosini, halafu wataongezwa wachezaji wachache tu wazuri kwa ajili ya kufidia mapungufu yaliyojitokeza msimu uliomalizika.Yanga anaboresha kikosi, Simba anaunda kikosi.
First 11 ya Yanga yote ipo.
Hivi shughuli ya Aucho unaifahamu kweli wewe awapo uwanjani!! Kwa mfano kwenye timu yako ya simba unaweza kumlinganisha na nani?Na usajili wa Balele mtaoufanya ndio utakuwa usajili wa kwanza kwa damu changa maana ana 23
Naskia middle yenu Khalid Aucho (43) mpo kwenye mkakati wa kumuongezea mkataba wa miaka 2.
Wakati huo Skudu (34) naskia mnampa mkono wa kwa heri.
Na MgundaHivi shughuli ya Aucho unaifahamu kweli wewe awapo uwanjani!! Kwa mfano kwenye timu yako ya simba unaweza kumlinganisha na nani?
Wewe ndiyo mbumbumbu wa mwisho kabisa.Na Mgunda
Kwasababu timu yangu imesheheni vitoto vya efu mbili, Mgunda ndio mtu pekee aneyonekana kulingana na Aucho