Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
 
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Umechelewa. Manara tayari keshaingizwa Kwenye payroll ya GSM Muda sasa. Dude liko ndani ya nyumba. Mnalo
 
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Siku hizi umehamia Yanga?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Anawafaa huko huko simba akili zenu zinafanana.

Anawafaa huko huko simba akili zenu zinafanana.

IMG_3816.jpg

Kauchomoe ule mwiko wa kigoma
 
Utopolo bado sana, siku zote mnawaza kuwekeza kwenye midomo hamjifunzi kwa Simba, mkimchukua Manara mtasema ndie msemaji bora Afrika, nyie ni washamba sana.
 
Back
Top Bottom