Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Sidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.

Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
Katika hao ulowataja hapo kama wapumbavu tayari mmoja ashakuja kwenu! huyo alobakia bado mnamng'ang'ania huko CAS ili muwe na wapumbavu wakubwa wawili
 
.
JamiiForums1731448287.jpg
 
Back
Top Bottom