Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Sidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.

Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
Enough is not enough!!!poleni

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Sidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.

Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
Hebu rudia tena
 
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Yanga ni ya GSM, kama ilivyo Simba ya MO....sasa wewe unaongea/unashauri km nani?

Sent from my SM-P605 using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu, joka limo chumbani sasa, nimeamini GSM hana mapenzi na yanga

Kama aliweza kui'snitch simba atashindwa yanga???
GSM wapigaji...wamekuja kupiga pesa tu pale Yanga ... Wapo tayari kujinufaisha kwa hali yoyote
 
Usihamishe magoli. GSM ndiye mmiliki wa Yanga.
Yanga ni timu ya wananchi wewe! Siyo ya GSM au mtu yeyote yule kama ilivyo kwa timu mnayo ishabikia nyinyi, ambayo ni mali ya Moo na Kimada wake Barbra
 
Yanga ni timu ya wananchi wewe! Siyo ya GSM au mtu yeyote yule kama ilivyo kwa timu mnayo ishabikia nyinyi, ambayo ni mali ya Moo na Kimada wake Barbra
Usiwe mbishi wewe GSM anafanya atakavyo mfano hai ni ujio wa Haji, hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyechaguliwa na wana Yanga ambaye alikuwa na wazo la kumchukua huyu roporopo na hata ujio wake hakuna aliyependa ukiwepo wewe lakini ndiyo hivyo msiyemtaka kaja na cha kufanya hamna mwenye timu ameshaamua.
 
Akiwa msemaji Yanga huyu,nahama YANGA RASMI na card nachoma moto live.Si kwa matusi yale kwa Yanga.
Kadi imeshaungua? Karibu Unyamani.
FB_IMG_1629835268834.jpg
 
Back
Top Bottom