Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Ushachoma card mkuu?Akiwa msemaji Yanga huyu,nahama YANGA RASMI na card nachoma moto live.Si kwa matusi yale kwa Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushachoma card mkuu?Akiwa msemaji Yanga huyu,nahama YANGA RASMI na card nachoma moto live.Si kwa matusi yale kwa Yanga.
Hapana nimegundua yule ni msemaji wa GSM.Ushachoma card mkuu?
Haji ni msemaji wa GSM si Yanga.
GSM watapita ila Yanga itabaki kuwa Yanga.There's a very thin line between Yanga and GSM
DuhhjUmechelewa. Manara tayari keshaingizwa Kwenye payroll ya GSM Muda sasa. Dude liko ndani ya nyumba. Mnalo
Enough is not enough!!!poleniSidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.
Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
Karibu AzamAkiwa msemaji Yanga huyu,nahama YANGA RASMI na card nachoma moto live.Si kwa matusi yale kwa Yanga.
Hebu rudia tenaSidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.
Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
Wacha we!!!Manara akija Yanga nitashabikia Gwambina
Yanga ni ya GSM, kama ilivyo Simba ya MO....sasa wewe unaongea/unashauri km nani?Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.
Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.
Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.
Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Usihamishe magoli. GSM ndiye mmiliki wa Yanga.Haji ni msemaji wa GSM si Yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alichoma?[emoji23][emoji23]Vp tuletee majivu
GSM wapigaji...wamekuja kupiga pesa tu pale Yanga ... Wapo tayari kujinufaisha kwa hali yoyoteKweli mkuu, joka limo chumbani sasa, nimeamini GSM hana mapenzi na yanga
Kama aliweza kui'snitch simba atashindwa yanga???
Viongozi wa Yanga ni UTOPOLO! Najuta kuwawekea dhamana. ☹️Hebu rudia tena
Yanga ni timu ya wananchi wewe! Siyo ya GSM au mtu yeyote yule kama ilivyo kwa timu mnayo ishabikia nyinyi, ambayo ni mali ya Moo na Kimada wake BarbraUsihamishe magoli. GSM ndiye mmiliki wa Yanga.
Usiwe mbishi wewe GSM anafanya atakavyo mfano hai ni ujio wa Haji, hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyechaguliwa na wana Yanga ambaye alikuwa na wazo la kumchukua huyu roporopo na hata ujio wake hakuna aliyependa ukiwepo wewe lakini ndiyo hivyo msiyemtaka kaja na cha kufanya hamna mwenye timu ameshaamua.Yanga ni timu ya wananchi wewe! Siyo ya GSM au mtu yeyote yule kama ilivyo kwa timu mnayo ishabikia nyinyi, ambayo ni mali ya Moo na Kimada wake Barbra
Kadi imeshaungua? Karibu Unyamani.Akiwa msemaji Yanga huyu,nahama YANGA RASMI na card nachoma moto live.Si kwa matusi yale kwa Yanga.
Mpokee mtu wenu. Nafikiri alishafika kitambo.Lazima Simba watapike Utopolo wakinge matapishi nao washibe.Akiwa msemaji Yanga huyu,nahama YANGA RASMI na card nachoma moto live.Si kwa matusi yale kwa Yanga.
Hajatukana. Kwasababu mama yake Manara naye kahamia utopoloni. Ndicho alichomaanisha bila shaka.Kwani ukimjibu bila ya kumhusisha mzazi wake kipi utapungua,, au ndo ulivyofundishwa hivyo kwenu kijijini