Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Wacha roho mbaya blaza, Haji anachukua mkeka huo . Kwani nini?
 
Kwani ukimjibu bila ya kumhusisha mzazi wake kipi utapungua,, au ndo ulivyofundishwa hivyo kwenu kijijini
2864830_IMG_3816.jpg
 
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Chukueni c mlikua mna mmendea haya kafutwa msimbazi mjumuisheni na senzo aisee rege liendelee pale jamgwani
 
Utopolo bado sana, siku zote mnawaza kuwekeza kwenye midomo hamjifunzi kwa Simba, mkimchukua Manara mtasema ndie msemaji bora Afrika, nyie ni washamba sana.
Hawa majamaa hawashindwi ,kama Senzo walimchukua manara kazi ndogo tu yule hana dau kubwa
 
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Sidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.

Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
 
Sidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.

Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
Kama senzo mlimchukua, manara hana dau yule, bei chee tu
 
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili la kumtegemea manara.

Simba nliwashauri waachane na msemaji kilaza,mbumbumbu asiye jielewa. Wamechelewa sana lakini at least.

Manara ni mswahili ambaye hakupata Elimu na Malezi mazuri. Ukimsikia tu anavyoongea utagundua hilo. Mimi nlimchukia si kwa sababu yupo Simba na anatukashifu sisi Yanga. Ila kwa sababu alikuwa anaupelekea ushabiki sehemu mbaya.

Huyu tusije dhani atatufaaa mtu kama huyu ni time bomb anytime anaweza lipuka na kuongea upuuzi wake. Najua ana mashabiki lakini ni aina ya wale wasiojielewa. Wenye akili hawawezi mkubali manara.
Upo usingizini unaota na ghafla unazinduka unakumbuka kuwa ulikuwa unaota lkn huwezi simulia ndoto husika.
 
NKYALU MUKUNZA MUKATILE NNAMA

Huyu akiingizwa kwenye maji ya uvuguvugu , akikwanguliwa manyoya na kukatwa mkia tayari anakuwa mwananchi saaafi
 
Sidhani kama kuna Kiongozi wa Yanga anaweza kufanya huo upuuzi. Hajji Manara na Bernard Morrison ni viumbe ambao kamwe hawastahili kuwa na mahusiano yoyote yale mazuri na Yanga.

Wapumbavu wakubwa wale! Wametufanyia kejeli nyingi sana.
Enough is enough.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom