Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Jipe moyo mwanasimba utayashinda yana mwisho vumilia...
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Yanga walimiliki vizuri mpira ila kuna tatizo kwenye umaliziaji. Gamond siku zote hupata shida kwa timu ambayo inayopaki basi, atafute njia ya kupasua defence za aina hii. Zaidi Yanga wajitahidi kuwa na precision, mashindano makubwa hayakupi nafasi nyingi za kufunga, lazima timu iwe kutumia zile nafasi chache zinazopatikana kupata matokeo.
 
kujifunga..?? wanajifunga alie force ule mpira ni nani kama sio wachezaji wa yanga!, mpira ni mchezo wa makosa ukiweza ku force mwenzako akafanya makosa ndo ponapona hiyo! usikariri kwamba we kila siku utakuwa unapachika magoli tu especially kwasasa hakuna timu ikakutana na yanga ikaleta upuuzi maana wanaelewa nini kitawakuta!.

yanga sasahivi hatuna mechi rahisi mechi zote za yanga wapinzani wanataka kuonyesha ubora wao!

yanga bingwa.
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Kiwanja kuwa na maji kimeathiri sana mchezo wa jana, tungeweza kuona magoli mengi kwa kila upande lakini SSC angepoteza 3 points.
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Kwani ukisema wewe ni kolo nani atakupiga? ya nini kujificha kwenye kivuli cha mchicha?
 
Ni ngumu Mashabiki wa Yanga kukuelewa . Ninachoamini mimi , kama simba atafanya maboresho kidogo tu ya kikosi chake kwa maeneo yenye mapungufu Yanga itakuwa na wakati mgumu mbele ya simba tena kwa muda mrefu ikizingatiwa wachezaji wengi wa simba bado ni vijana ukilinganisha na wale wa Yanga ambao umri umeanza kuwatupa mkono .Raundi ya pili siyo mbali.
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Tuliza kalio na maoni yako hayajapokelewa
 
Back
Top Bottom