Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

kujifunga..?? wanajifunga alie force ule mpira ni nani kama sio wachezaji wa yanga!, mpira ni mchezo wa makosa ukiweza ku force mwenzako akafanya makosa ndo ponapona hiyo! usikariri kwamba we kila siku utakuwa unapachika magoli tu especially kwasasa hakuna timu ikakutana na yanga ikaleta upuuzi maana wanaelewa nini kitawakuta!.

yanga sasahivi hatuna mechi rahisi mechi zote za yanga wapinzani wanataka kuonyesha ubora wao!

yanga bingwa.
Asipokuelewa basi
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Wasio na akili watakutukana japo wewe umeeleza ukweli bila ushabiki ndani yake.
 
Waache wanywe supu.
Kuna nyakati za ng'ombe walionona na ng'ombe waliokonda.
dah shekhe umeongea manenobhapa wanakuona ww bwege lakin inafikirisha yanga hii kwa simba sasa ni goli moja moja lamazabe haya hao wagen wanawafungaje mpira ule
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
dah shekhe umeongea manenobhapa wanakuona ww bwege lakin inafikirisha yanga hii kwa simba sasa ni goli moja moja lamazabe haya hao wagen wanawafungaje mpira ule
Shekhe, Kuna kale kawimbo ka Yanga hii unaifungaje, ni suala la muda tu hawatataka kuusikia.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
JamiiForums-2104962820.jpeg
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Mimi sikuangalia Mpira hivi Simba alipiga pasi hadi golini kwake Kijili akajifunga.
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni susiawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Usitufumbe mdono mabingwa wa kuhistoria,acha tufurahi,kile kipindi cha majonzi mlituombea hata tufe,tumevuka salama tuache tufurahi.
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Noted
 
Huu mpira wa Media ndio iliifanya SSC kuporomoka sana na kufikia hapo ilipofikia.

Goli ambalo hatuwezi kujivunia nalo deep down lisitutoe kwenye reli kuwa kuna TAFSIRI 2

1. Inawezekana Yanga SC Imeanza kuwa na kiwango cha kawaida au wachezaji wetu wameanza kuchoka, Sijaona Shambulia la hatari lililofanywa na Yanga jana dhidi ya SSC , Gamondi asijekuwa ameanza kuwa mzee wa Objective football , na sasa za mpira kwa ushindi wa butua butua , maneno maneno huku tunaona timu inavyo struggle kupata ushindi hata kwa timu ndogo


2. Inawezekana SIMBA imeimarika ndio maana tunaona yanga anashindwa tena kumfunga SIMBA, tukumbuke Yanga bora ndio iliyofichua Simba mbovu, tuangalie kinyume chake isijekuwa kweli.

Kitendo cha kunywa Supu kwa OWN goal , ni sehemu ya kujitafakari timu kiwango kinashuka au ni nini kinaendelea au wachezaji wameanza kulewa Sifa, SSC jana ilikuwa bora walikosa umakini wao wenyewe otherwise tungelala hata Goli 3.

Hata ile Penalt it was clear penalty but Refa had to balance the game , na kama kungekuwa na VAR , hata goli walilojifunga SSC, halikupaswa kuwa Goli maana mpira ulikuwa nje clear , ni kukosa umakini kwa marefa wetu lakini pia kukosekana kwa technology kama VAR uwanjani otherwise halikupaswa kuwekwa kati.

So sijaelewa furaha ya supu inatoka wapi, ni sawa na ile furaha ya mamelodi kuitoa Yanga, ni ukichaa

Let’s focus na timu yetu kuwa tumeshindwa kutengeneza chances mbele ya SSC iliyoimarika na hii ni red light ahead pamoja kwamba tunaamini tunawachezaji wakubwa.

Hata kutoboa makundi mwaka huu inaweza kuwa ni kipengele. Timu inaanza kushukq kiwango tubaki humo
Watakuelewa tu. Najua umeitwa majina mengi sana.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC. View attachment 3131299
Habar zenyuuu
 
Back
Top Bottom