Fundi kipara
Senior Member
- Oct 27, 2019
- 125
- 247
Salam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.
Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.
Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?
Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?
Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?
Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)
Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.
Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.
Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo!😥
Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.
Viva Yanga Daima Mbele
Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.
Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?
Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?
Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?
Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)
Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.
Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.
Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo!😥
Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.
Viva Yanga Daima Mbele