Yanga tusipokuwa makini na suala la likizo tutaukosa ubingwa mapema

Yanga tusipokuwa makini na suala la likizo tutaukosa ubingwa mapema

Ndugu ubingwa wa NBC hauna mijadala, Shida ni izi mechi 2 za kimataifa tunahitaji point 6 Ngumu Sana.
Inatakiwa timu iwe imara Sana Kimbinu na Utimamu wa miwili wa wachezaji.
Hatima ya Yanga kucheza robo fainali itakuwa tarehe 16/2
 
Issue sio likizo ila Wana maneno mengi ya kujitapa na kujisifu kuliko kazi. Hapa kwa Sasa atakuwa anapata ushindi kwa taabu sana
 
Ndugu ubingwa wa NBC hauna mijadala, Shida ni izi mechi 2 za kimataifa tunahitaji point 6 Ngumu Sana.
Inatakiwa timu iwe imara Sana Kimbinu na Utimamu wa miwili wa wachezaji.
usijiamini sana..
kumbuka zimebaki mechi 16.
michezo 16 ni sawa na points 48.
 
usijiamini sana..
kumbuka imebaki mechi 16.
michezo 16 ni sawa na points 48.
Ubingwa Wa nchi hii haujawahi kuwa mgumu kwa Yanga kwakua wanajua jitihada na Nguvu zinazo hitajika kuwa Bingwa, Timu ya ubingwa wa NBC miaka 2 mbele tunayo ku ukosa ni uzembe wetu kwakua quality ya NBC ipo.

Shida tuliyonayo ni Ligi ya Mabingwa kwakua tunawapinzani wagumu na tunahitajika kutumia resources zote kushinda ili kijipambanua kimataifa.

Hatuhitaji kuelekezwa nguvu kwenye Tunguli / slogan, tunahitaji uwezo wetu wa kisoka na mbinu uwanjani tukajipambanue kimataifa.
 
Salam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.

Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.

Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?

Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?

Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?

Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)

Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.

Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.

Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo!😥

Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.

Viva Yanga Daima Mbele
Acheni mambo yenu bwana, walikuwa wanatumikia timu zao za taifa na ata wangewai bado Kuna likizo kwa wachezaji wanaokuwa timu za taifa kwaiyo wasingetumika, sioni mantiki ya kuhoji sana hili jambo, awapo na timu inasonga mbele papara ya washambuliaji kukosa magoli litakwisha ni suala la muda tu ilimradi timu inatengeneza nafasi
 
Kikosi kipana kitakosaje ubingwa kwa kisingizio Cha mchezaji mmoja?
 
Suala la kufunga ndoa nakupinga ndugu yangu, kuna ubaya gani mchezaji kufunga ndoa ili aishi kihalali na mpenz wake kama mke na mume na sioni ulazima wakusubiri mpaka msimu uishe ndio ufunge ndoa kwa sasa Bacca anapaswa kupewa hata mwezi mmoja tu wa Honeymoon kisha atarejea kuungana na wenzake mapema mwezi wa 3 wala sioni ubaya wowote kwenye hilo
Mwezi mmoja wa honeymoon atarudi amekokotolewa akikimbia anapepesuka mwenyewe bila kuguswa
 
Salam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.

Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.

Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?

Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?

Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?

Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)

Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.

Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.

Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo![emoji26]

Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.

Viva Yanga Daima Mbele
tulia ndugu,yanga inaongozwa na wataalamu,wanajua kila wanalofanya
 
Salam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.

Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.

Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?

Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?

Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?

Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)

Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.

Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.

Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo![emoji26]

Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.

Viva Yanga Daima Mbele
Miili ya wachezaji ni miili ya club ni sawa na mwanajeshi mwili wake ni wajeshi,wachezaji inatakiwa watimize majukumu yao ipasavyo
Watengeneze mapumzuko yaliko kwenye calendar
 
Mwezi mmoja wa honeymoon atarudi amekokotolewa akikimbia anapepesuka mwenyewe bila kuguswa
Hahahaa sasa unataka aoe bila kufurahia honeymoon na mwenza wake kisa kuwa wahi mashujaa??
 
Salam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.

Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.

Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?

Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?

Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?

Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)

Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.

Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.

Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo!😥

Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.

Viva Yanga Daima Mbele
Manchester United walipeleka private jet Abidjan kumchukuwa mchezaji wao baada ya mechi tu, sasa nyinyi mna hiyo jeuri?

Wacha havikaze vitoto vya Burkinafaso Kwanza atarudi Tu.
 
Suala la kufunga ndoa nakupinga ndugu yangu, kuna ubaya gani mchezaji kufunga ndoa ili aishi kihalali na mpenz wake kama mke na mume na sioni ulazima wakusubiri mpaka msimu uishe ndio ufunge ndoa kwa sasa Bacca anapaswa kupewa hata mwezi mmoja tu wa Honeymoon kisha atarejea kuungana na wenzake mapema mwezi wa 3 wala sioni ubaya wowote kwenye hilo
Hauko serious
 
Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?
Acha kutusumbua, kwa sasa tupo busy na masumbwi

1707311544356.png
 
Wachezaji wa Mali na Burkinafaso wanaocheza Ulaya walisharudi kwenye timu zao wote
 
Tunachotakiwa ni kuombea Simba ifungwe au isuluhu. Ikifanyika tunatangaza ubingwa mwezi kesho mapemaaa
 
Back
Top Bottom