Ndugu ubingwa wa NBC hauna mijadala, Shida ni izi mechi 2 za kimataifa tunahitaji point 6 Ngumu Sana.jihadharini pale mnapojiaminisha kuwa ubingwa wa ligi kuu msimu huu, alafu ikatokea tofauti.
utasononeka na moyo wako
Hatima ya Yanga kucheza robo fainali itakuwa tarehe 16/2Ndugu ubingwa wa NBC hauna mijadala, Shida ni izi mechi 2 za kimataifa tunahitaji point 6 Ngumu Sana.
Inatakiwa timu iwe imara Sana Kimbinu na Utimamu wa miwili wa wachezaji.
usijiamini sana..Ndugu ubingwa wa NBC hauna mijadala, Shida ni izi mechi 2 za kimataifa tunahitaji point 6 Ngumu Sana.
Inatakiwa timu iwe imara Sana Kimbinu na Utimamu wa miwili wa wachezaji.
Chai ni urembo tu, chamsingi pesa kwanza.Umekunywa chai?
Ubingwa Wa nchi hii haujawahi kuwa mgumu kwa Yanga kwakua wanajua jitihada na Nguvu zinazo hitajika kuwa Bingwa, Timu ya ubingwa wa NBC miaka 2 mbele tunayo ku ukosa ni uzembe wetu kwakua quality ya NBC ipo.usijiamini sana..
kumbuka imebaki mechi 16.
michezo 16 ni sawa na points 48.
Acheni mambo yenu bwana, walikuwa wanatumikia timu zao za taifa na ata wangewai bado Kuna likizo kwa wachezaji wanaokuwa timu za taifa kwaiyo wasingetumika, sioni mantiki ya kuhoji sana hili jambo, awapo na timu inasonga mbele papara ya washambuliaji kukosa magoli litakwisha ni suala la muda tu ilimradi timu inatengeneza nafasiSalam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.
Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.
Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?
Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?
Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?
Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)
Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.
Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.
Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo!😥
Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.
Viva Yanga Daima Mbele
Mwezi mmoja wa honeymoon atarudi amekokotolewa akikimbia anapepesuka mwenyewe bila kuguswaSuala la kufunga ndoa nakupinga ndugu yangu, kuna ubaya gani mchezaji kufunga ndoa ili aishi kihalali na mpenz wake kama mke na mume na sioni ulazima wakusubiri mpaka msimu uishe ndio ufunge ndoa kwa sasa Bacca anapaswa kupewa hata mwezi mmoja tu wa Honeymoon kisha atarejea kuungana na wenzake mapema mwezi wa 3 wala sioni ubaya wowote kwenye hilo
Mkuu ushatoka msumbiji au bado tunayasaka majax?Chai ni urembo tu, chamsingi pesa kwanza.
tulia ndugu,yanga inaongozwa na wataalamu,wanajua kila wanalofanyaSalam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.
Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.
Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?
Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?
Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?
Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)
Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.
Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.
Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo![emoji26]
Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.
Viva Yanga Daima Mbele
Miili ya wachezaji ni miili ya club ni sawa na mwanajeshi mwili wake ni wajeshi,wachezaji inatakiwa watimize majukumu yao ipasavyoSalam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.
Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.
Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?
Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?
Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?
Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)
Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.
Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.
Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo![emoji26]
Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.
Viva Yanga Daima Mbele
Hahahaa sasa unataka aoe bila kufurahia honeymoon na mwenza wake kisa kuwa wahi mashujaa??Mwezi mmoja wa honeymoon atarudi amekokotolewa akikimbia anapepesuka mwenyewe bila kuguswa
Manchester United walipeleka private jet Abidjan kumchukuwa mchezaji wao baada ya mechi tu, sasa nyinyi mna hiyo jeuri?Salam wananchi, natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kulijenga taifa la mama kizimkazi. Naomba kusema kitu japokua roho na nafsi vinauma.
Viongozi wa team yetu pendwa ya Young African kuna sehem wana shida kubwa sehem sana kuhusu suala la kutoa likizo kwa wachezaji nyota katika tena wachezaji hao wakipewa likizo pia huchelewa kuripoti kambini.
Niwakumbusheni kuhusu suala la Key Master (Aziz Stephanie) amekua ni mchezaji mwenye shida hio na suala hili viongozi wetu wa ngazi za juu wamekua kimya sana sio msimu huu tu ata msimu jana alifanya hivyo lakini kama viongozi hawajapata dawa ya tatizo lake?
Nashangaa kutomuona kwenye pitch super captain (Nondo) yuko wapi, mbona waliocheza AFCON wengine wanahudumu kwenye club zao? Hamad Ibra Bacca ndio kaoa na kaacha mpira kabisa?
Okrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?
Mdaka mishale ya kashaaga kule AFCON au bado nae kabakia kuwasapoti Cote D'ivoire (Ivory Coast)
Nakumbuka hata last season predator Kalala Fiston Mayele alipewa likizo ya hovyo kisa anaongoza kwa mabao lakini Said Kipara akam surprise kwa idadi kubwa ya mabao. Viongozi wa mpira hawako hivyo buana acheni umangungu.
Toeni likizo muda huo tushatawazwa kua machampion wa ligi hii otherwise hii dharau itatucost na kuanza kumtafuta sijui nani mchawi.
Wachezaji nyota wa kikosi hawapo kambini halafu mnataka kutetea taji la ligi kuu kizembe hivyo!😥
Siko hapa kukosoa but nasema vile vitu macho ya kiroho yanaona.
Viva Yanga Daima Mbele
Hauko seriousSuala la kufunga ndoa nakupinga ndugu yangu, kuna ubaya gani mchezaji kufunga ndoa ili aishi kihalali na mpenz wake kama mke na mume na sioni ulazima wakusubiri mpaka msimu uishe ndio ufunge ndoa kwa sasa Bacca anapaswa kupewa hata mwezi mmoja tu wa Honeymoon kisha atarejea kuungana na wenzake mapema mwezi wa 3 wala sioni ubaya wowote kwenye hilo
Acha kutusumbua, kwa sasa tupo busy na masumbwiOkrah Magic nae hajacheza ata game 1 karudi home kudinya zoo nguvu viongozi mnazitoa wapi kumruhusu?