Hili ni angalizo.
Naona watu wameweka matumaini makubwa kwa wachezaji wanaosajiwa Yanga.
Niwaambie kitu Africa mpira na ndumba ni mapacha wawili.
Simba na yanga ni mara chache sana walisajili wachezaji wabovu,wengi walitoka huko wakiwa na kiwango cha juu leo wapo Kitayose,Ihefu sijui Namungo.
Fei toto hawezi kukubali apotee kisa Aziz ki wakati babu yake mzee Makame yupo hapo pemba,atapanda boti na sox ya Aziz ki,kifuatacho ni majeruhi yasiyokoma au kushuka kiwango.inside job.huo ni mfano tu japo unaweza kuwa kweli.
Adui wa viwango vya wachezaji huwa hawatoki mbali ni washkaji zao wa karibu.
Pale msimbazi kuna kakijana kanacheza beki ya pembeni na kuna mlevi kiungo ya chini 😳.
Mtamlaumu viongozi kuwa wameleta magarasa kumbe sababu ni za kiufundi zaidi.
Fuatilia profile ya Mavugo,Chikwende,Nyoni wa malawi, Sarpong ,Moringa na Chirwa huko walipotoka kabla ya kutua nchini walikuwa wanawindwa na PSG.leo wako wapi.
Msimu uliopita Yanga tulikuwa na hamu ya makombe wachezaji tukaweka ubinafsi pembeni.tukaipigania timu
Msimu huu Mayele akifikisha goli 12 mniite mbwa.
Aziz Ki akitoa asist kumi njooni mniue.
Naona watu wameweka matumaini makubwa kwa wachezaji wanaosajiwa Yanga.
Niwaambie kitu Africa mpira na ndumba ni mapacha wawili.
Simba na yanga ni mara chache sana walisajili wachezaji wabovu,wengi walitoka huko wakiwa na kiwango cha juu leo wapo Kitayose,Ihefu sijui Namungo.
Fei toto hawezi kukubali apotee kisa Aziz ki wakati babu yake mzee Makame yupo hapo pemba,atapanda boti na sox ya Aziz ki,kifuatacho ni majeruhi yasiyokoma au kushuka kiwango.inside job.huo ni mfano tu japo unaweza kuwa kweli.
Adui wa viwango vya wachezaji huwa hawatoki mbali ni washkaji zao wa karibu.
Pale msimbazi kuna kakijana kanacheza beki ya pembeni na kuna mlevi kiungo ya chini 😳.
Mtamlaumu viongozi kuwa wameleta magarasa kumbe sababu ni za kiufundi zaidi.
Fuatilia profile ya Mavugo,Chikwende,Nyoni wa malawi, Sarpong ,Moringa na Chirwa huko walipotoka kabla ya kutua nchini walikuwa wanawindwa na PSG.leo wako wapi.
Msimu uliopita Yanga tulikuwa na hamu ya makombe wachezaji tukaweka ubinafsi pembeni.tukaipigania timu
Msimu huu Mayele akifikisha goli 12 mniite mbwa.
Aziz Ki akitoa asist kumi njooni mniue.