Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

UEFA hoyeeeeeee!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia..mambo mazuri yanakuja soon mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mara paap CAF champions kolo mmepangwa na YANGA......najua huo ndio utakuwa mwisho wenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah tukutane kwenye CAFCL ndo tutawaonesha nn maana ya hii michuano, km Al Ahly anavyowaoneshaga Zamalek, au Mamelodi anavyowaneshega Kaizer chiefs.
 
Mkuu .unazani .kwann LaLiga Santander wanaipost YANGA kwenye page zao za mitandao....????
Kwa kili zako za kushikiwa na manara unadhan la liga wanaweza kufanya huo upumbavuu?ndo maana hapo kinye ...fc weny akili ni wawil tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah tukutane kwenye CAFCL ndo tutawaonesha nn maana ya hii michuano, km Al Ahly anavyowaoneshaga Zamalek, au Mamelodi anavyowaneshega Kaizer chiefs.
Naongea....lkn naogpa dah
 
Back
Top Bottom