demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Unaenda kuweka kambi misri kwenye baridi na viwanja vya kisasa halafu unakuja kucheza ligi kwenye uwanja wa nankumbu ni akili au matope?
Hakuna sababu ya kumtukana mleta mada.
Yeye huwa anadhani kuweka kambi ni kwenda kusoma mbinu za timu nyingine.
[emoji23][emoji23]