Yanga usajili wote huo mnakwenda kuweka kambi Bigwa, Morogoro, kweli nyie ni wa kimataifa au wa hapa hapa?

Unaenda kuweka kambi misri kwenye baridi na viwanja vya kisasa halafu unakuja kucheza ligi kwenye uwanja wa nankumbu ni akili au matope?

Hakuna sababu ya kumtukana mleta mada.

Yeye huwa anadhani kuweka kambi ni kwenda kusoma mbinu za timu nyingine.

[emoji23][emoji23]
 
Bigwa unaposema wewe sio sehemu ya kifala! Karibu sikumoja ujionee maji yatiririka Moro
 

Attachments

  • 29E65DD9-FA39-4289-8E10-36E9B9C380B6.jpeg
    74.4 KB · Views: 4
Unaenda kuweka kambi misri kwenye baridi na viwanja vya kisasa halafu unakuja kucheza ligi kwenye uwanja wa nankumbu ni akili au matope?
Topolo limekariri Misri kuna baridi... hii ni July
 
Ingekuwa simba ndiyo kaweka kambi bongo,wachang'ombe wangeshupaza shingo zao hao!Ingekuwa mada ya wiki nzima.Sasa wapo kimyaaaa!
Wamepigwa kwenye mshonooo, tena Takadini kanyweaa kimyaa km hayupo vile, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaenda kuweka kambi misri kwenye baridi na viwanja vya kisasa halafu unakuja kucheza ligi kwenye uwanja wa nankumbu ni akili au matope?
Pesa za magodoro fake zote zimekombwaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si mseme ukweli tyuuh.
 
Kwani kwenye kuweka kambi huwa kinaangaliwa nini?
 
Bigwa unaposema wewe sio sehemu ya kifala! Karibu sikumoja ujionee maji yatiririka Moro
Wanatalii milima ya uluguru?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani kwenye kuweka kambi huwa kinaangaliwa nini?
Mlongo sisi hatuna tabu, ila Takadini ndo alijifaragua wazi wazi huko insta, mtaenda [emoji631], baadae kocha kasema tutahamia [emoji1250],

Wacha aiponde simba haina hela, ndo maana wachezaji wa chupli chupli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Leo mnaenda Bigwa huko, mnataka kusema nn? Kwani mkikubali aziz ki kawakomba zoteee, shida nn? yaokuba kamfunda mwenzake.

Vipi wee huendi kuwasaidia kutengeneza juice ya miwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
 
Hii ni sawa na mwanume amemhonga Demu mzuri pesa yote halafu amekosa pesa ya kuendea lodge..kinachobaki hapo ni kwenda vichochoroni tu .aibu kweli
 
Hii ni sawa na mwanume amemhonga Demu mzuri pesa yote halafu amekosa pesa ya kuendea lodge..kinachobaki hapo ni kwende vichochoroni tu .aibu kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti mno.
 
Reactions: BRN
Kumbe unahitaji tu kocha wa kiarabu ili kushinda agansit arabic teams? [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti mno.
Na ile ya Kambi ya Uturuki ni kama vile jamaa kafanya booking lodge au hoteli halafu baadae Demu anasema hawezi kutoka babaake amerudi nyumbani.
 
Kambi owe bigwa au Matombo hsijalishi. Sisi tunajali Ni matokeo ya kambi hiyo nayo tutaanza kuyaona tar. 13 August Hadi mwisho ligi. Kupanga Ni kuchangia, hivyo kila timu iheshimu mipango yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…