Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
najua walifungwa 1-0 na Elitrea mechi ya kwanza, je ya pili na somalia ilikuwa vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nausikiliza redioni, watangazaji wanamsifia kipa wa Simba kwamba anafanya kazi nzuri sana. Asamoah wa Yanga amechemsha, Mgosi naye ametoka kwa upande wa Simba na nafasi yake imechukuliwa na Patrick Ochan.
Yanga 3 Simba 1 Full time score mark my predication;
Haya matuta yamewapa ushindi wa 3-1 yeboyebo