Yanga vs Kaizer Chief ilikuwa mechi ya kuuzia jezi na kuujaza uwanja wa Mkapa trh 4

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kaizer chief hata Liwale FC hawaifungi, quality ya wachezaji na namna wanavyocheza unaona kabisa pale hakukuwa na ball.

Shabiki mmoja tang asbh kashika bango likisema Even Jesus can not save Kaizer Chief.

Mmefanikiwa sana, jezi mtauza na uwanja mtajaza trh 4.

Fanyeni kila mnaloweza lkn this time lazima tuwazike
 
Sawa tumekusikia afisa habari wa kaizer chiefs
 
Sasa ushajiuliza Kikosi B kwa timu za ligi daraja la pili huko Misri kinakuwaje, unaweza ukakuta mnacheza na mashabiki huko Misri.Wakati wenzenu wanapasha kutafuta appetite ya kula nyie mnachukulia serious.
 
Mwenge uwa auvuki Kijiji zamu yenu inakuja ndio utajua Kama wamepigwa kihalali ama wamekutana na timu Bora, akili zitawakaa sawa tu
 
S
SANDA FC MMELETEWA JEZI ZA KUWAZIKA WENYEWE,MCHIMBA KABURI UDUMBUKIA YEYE MWENYEWE,HAINA MAANA KUWEKA NENO SANDA UDHABUNI ANAJUA FIKA TIMU INAKUFA MWAKA HUU NAOMBENI KABISA JAMII STAFF HII COMMENTS YANGU NIMEITOA LEO TAREHE 28 JULY 2024,SAA 08:15 πŸ‘ˆ SIMBA ISIPOSHIKA NAFASI YA 3 MSIMU HUU JAMII NAOMBENI MNIPIGE BURN YA MILELE
 
S
SANDA FC MMELETEWA JEZI ZA KUWAZIKA WENYEWE,MCHIMBA KABURI UDUMBUKIA YEYE MWENYEWE,HAINA MAANA KUWEKA NENO SANDA UDHABUNI ANAJUA FIKA TIMU INAKUFA MWAKA HUU NAOMBENI KABISA JAMII STAFF HII COMMENTS YANGU NIMEITOA LEO TAREHE 28 JULY 2024,SAA 08:15 πŸ‘ˆ SIMBA ISIPOSHIKA NAFASI YA 3 MSIMU HUU JAMII NAOMBENI MNIPIGE BURN
 
Burn=ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…