Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unabishaaHifadhi maneno yako mkuu
Yupo sahihi kabisa ..takwimu zipo wazi kabisaAt least ungekaa kimya ingesaidia kuficha ujinga wako ,muda mwingine jionee huruma sio lazima kila mtu agundue kuwa wewe ni punguani.
Mkuu wewe una Roho ya Paka.Kaizer chief hata Liwale FC hawaifungi, quality ya wachezaji na namna wanavyocheza unaona kabisa pale hakukuwa na ball.
Shabiki mmoja tang asbh kashika bango likisema Even Jesus can not save Kaizer Chief.
Mmefanikiwa sana, jezi mtauza na uwanja mtajaza trh 4.
Fanyeni kila mnaloweza lkn this time lazima tuwazike
Kwa nini asubiri mpaka mechi iishe Kisha aandike Uzi na kwa nini asingeweka Uzi huu kabla ya mechi ?Yupo sahihi kabisa ..takwimu zipo wazi kabisa
unampangia maisha???Kwa nini asubiri mpaka mechi iishe Kisha aandike Uzi na kwa nini asingeweka Uzi huu kabla ya mechi ?
Wamefanya kama afande Sabasita,babake Tunda capucino .Wamejinunulia SandaHaya maneno yako ya mwisho utakuwa umeyaandika huku unatetemeka kweli kweli kwa hofu!
Hahaha aisee. Jamaa utajua hajui.Haraka ya nini, kila mmoja atafikiwa. Mwenge haujawahi kuruka kijiji.
Yule mromania Kila cross goal baada ya hapo wakafungiwa kusajili.Kaizer ile utaifananisha na hiki kikosi cha watoto wa miaka 17 mlichocheza nacho katika bonanza la leo?
Uzi ufungwe. Umemaliza kila kitu.Tumewalipia kisasi chenu
View attachment 3055252
Wakipigwa huwa wanasema wameuza mechi..!! Wajiandae kumtimua kocha..!!Mwenge uwa auvuki Kijiji zamu yenu inakuja ndio utajua Kama wamepigwa kihalali ama wamekutana na timu Bora, akili zitawakaa sawa tu
Unajua Kaizer Chiefs hii ilikuwa inapambana isicheze play off? Yaani hata ile Galax mliyocheza nayo ilimaliza juu ya Kaizer ChiefsTumewalipia kisasi chenu