Kuna watu ubishi ndio asili yao, timu inaweza ikatengeneza mashumbulizi mengi lakini kwa upande wa umaliziaji ukawa ni shida. Kutengeneza mashumbulizi na swala la umaliziaji ni vitu viwili tofauti. Haya niambie short off target umesema hazizidi tano vipi na corner zilikuwa ngapi?