Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Hata ile game na wale wa Ghana ya hapa dar tulikosa sana magoliIla chirwa huyu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ile game na wale wa Ghana ya hapa dar tulikosa sana magoliIla chirwa huyu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaan uwa nashangaa wanaumwa nn hawa jamaaHata ile game na wale wa Ghana ya hapa dar tulikosa sana magoli
Yaani game ya wale jamaa ilikuwa yetu kabisa chirwa alikosa bao kama mbili ngoma nae hali kadhalika kunakuwa na kigugumizi flan hivi au kama wanakuwa na gumbiz flanYaan uwa nashangaa wanaumwa nn hawa jamaa
Unakuta jitu liko na kipa tuu linakosa
Bora droo imeshindikanaNdio itakuwa balaa
Kama hawajajengwa kisaikolojia wanapo fika langoniYaani game ya wale jamaa ilikuwa yetu kabisa chirwa alikosa bao kama mbili ngoma nae hali kadhalika kunakuwa na kigugumizi flan hivi au kama wanakuwa na gumbiz flan
Leo Yanga angedroo ungeona mikia wanavyo tema shombo humuMnabanaga pua ooh mwarabu noma,yuko wapi?
Pape Ndow unajitoa fahamu? Nae mlimsifia kama MavugoMzee wa hirizi ni Nani?
Mkuu ukimtaja huyu mtu nacheja sana,jamaa kiatu chake mechi simba na yanga kilikuwa kimeisja sana.Pape Ndow unajitoa fahamu? Nae mlimsifia kama Mavugo
Mikia walijitamba mno eti kiatu chake ni mtambo wa magoli kama wanavyo msifia MavugoMkuu ukimtaja huyu mtu nacheja sana,jamaa kiatu chake mechi simba na yanga kilikuwa kimeisja sana.
Yaani jamaa kama sio wa kutoka nje,full uswahili.
Mkuu umeamua kunivunja mbavu kile kiatu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwe mtambo wa mabao.Mikia walijitamba mno eti kiatu chake ni mtambo wa magoli kama wanavyo msifia Mavugo
Yaah yaani kama hawajawahi kufunga au wanaona aibu kufunga.Kama hawajajengwa kisaikolojia wanapo fika langoni
mkuu hawa mikia huwa hawaishiwi maneno, kuna wa mchangani mmoja baada ya yanga kushinda akaanza kusema"LEO MGONJWA KAPEWA UJI"Leo Yanga angedroo ungeona mikia wanavyo tema shombo humu
Uzuri leo tumewalaza mapema na viatumkuu hawa mikia huwa hawaishiwi maneno, kuna wa mchangani mmoja baada ya yanga kushinda akaanza kusema"LEO MGONJWA KAPEWA UJI"
Mkuu umeamua kunivunja mbavu kile kiatu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwe mtambo wa mabao.
Kiatu kimeisha kimepigwa vilaka kinyama,eti ndo mtambo wa mabao.
Hahahahaha! Yule jamaa atakuwa alitokea senegal uswahilini.Jamaa walikuwa wanatetea kwa nguvu zote eti kina control akivaa kipya control anapoteza power bank ya kiunoni iliwaumbua Mikia.
Jamaa walikuwa wanatetea kwa nguvu zote eti kina control akivaa kipya control anapoteza power bank ya kiunoni iliwaumbua Mikia.