Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Uto kama Polo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kakata moto yupo hoiiiiiiiiiiii OkwaaaOKWAAAAAAAAAAA
Hawana timu ya kucheza klabu bingwa, tofauti ya Yanga na Azam sijaiona hadi saiziIla Mimi naona Bora yanga mtolewe mapema Tu mpelekwe shirikisho..kule ndy saizi yenu,huku mngemwachia biashara FC
watakuw kule chitchatJamani wanaYanga wanaijadili hii Mechi kwenye Uzi upi? nawatafuta
Kikundi cha SebeneYanga hakuna team hapo hicho ni kikundi cha majambazi tu
Nasikia manara ameshikwa na hernia huko[emoji1787][emoji1787]Uto kama Polo
Nani hawana timu?utopolo au biashara?Hawana timu ya kucheza klabu bingwa, tofauti ya Yanga na Azam sijaiona hadi saizi
Yanga thread kule ndo wamejazana wanalaumiana tuJamani wanaYanga wanaijadili hii Mechi kwenye Uzi upi? nawatafuta
Tulia hizo za Nigeria.Sema River wanapoteza umakini wanazo goli nyingi wakitulia na kuwa na kasi
Uyo mtoto anaeingia ndo nuksi tupu,ajawai kucheza bila kufunga goli,namjua vizuri sana.Rivers wanafanya mabadiliko ,anayeingia ndo mbaya zaidi
C mlikua mnasema.anapaswa awe huko barca. Sasa cjui barca ya wapi hiyo maana co mnazi huoFeitoto daaaah