Manara kuna muda alijisahahu kuwa ye ni yanga, goli lilivyoingia nikamuona ameruka kanyanyua mikono juu, mabosi wake wakamaindi.Manara anasemaje mkuu?
na ugenini tunaenda na kauli mbiu gani kuwakabiri hawa vibonde? Au 'war in Abuja' ?
Wahuni biashara zetu jioni, ndio mida ya kupanga ubao na kutandaza ubaobiashara asubuhi
Anadaka mpaka risasi za HamzaKocha wetu anadegree 😂😂
Wqngeandika barua TFF wao bado wanaunda timu.Hata hivyo sisi Yanga wala hatukutaka kushiriki club bingwa, hawa Simba ndio waliosababisha.
Aisee nimefurahi mno maana hawa yanga wana maneno balaa ila uwanjani [emoji706][emoji706][emoji706]. Japo kitaifa wametutia aibu nchi yetuWamsubirie instagram akawape maneno ya faraja, watulie waamini miujiza itatokea huko Nigeria.
Hivi Kaseke na Nchimbi ungempa namba yupo?Mm sio mwana yanga ila yanga imeniharibia jion yangu.....
Still Tanzania BADO inakosa wachezaji aina yangu mm....siku Moja ntaweka uzi.. ..
I wish ningekua First 11 ya yanga leo....hakika furaha ingekua upande wetu.
Polen Sana yanga
AhahahaKuna tatizo la kiufundi huku limejitokeza ndugu admin[emoji1787][emoji1787]
[emoji116][emoji116]
View attachment 1935025
Tuongee na TFF sio? ili wawe wanatumia wa pembeni hapo shamba la bibiYanga ndio wanaochakaza uwanja wa Taifa badala wacheze mpira wanalima nyasi za taifa na kurukaruka km kunguru wao uwanjani
Yanga wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumiBiashara (Ugenini) - Kashinda..
Azam (Nyumbani) - Kashinda...
Uto (Nyumbani) - Kafungwa....
Uto ni mzigo wa mavi mamaeeeeee.....
Kimetutosha mamyKila rakheri Yanga ! Kimoko tu kinawatosha