Yanga vs Rivers United (0-1) | CAFCL | Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam

Mkuu waombe samahani Namungo, msimu uliopita walifika makundi Kwanini unawafananisha na mambo ya kijinga?
 
Daah, Young Africans tunafeli wapi?
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]muulize manara!!
 
Hapana kocha mtampa lawama za bure tu, ni yeye aliyeomba apewe muda wa miezi mitatu kwa ajili ya kupata combination ya timu kitokana na kusajiliwa wachezaji ambao hawakuwepo kwenye mpamgo wake

Utamlaumu kocha kwa lipi hapo na ndo kwanza tunaenda wiki ya pili hata mwezi haujaisha kumtisha kocha kupata huo muunganiko?
 
Bora ujipe moyo
Ila hakuna second leg wala fourth legs mnafungwaaaa!!!Yanga bado kimataifa huo ndo ukweli!
Mnamuamini manara mtu wa porojo kuliko reality!
 
Ila mwanaspoti nuksiii! Wanavyoipambaa Yangaa daahh! Balaaa kila siku!
 
Hujaacha ushoga tu bado
 
Bora ujipe moyo
Ila hakuna second leg wala fourth legs mnafungwaaaa!!!Yanga bado kimataifa huo ndo ukweli!
Mnamuamini manara mtu wa porojo kuliko reality!
Sawa shoga ila hapa jukwaani hakuna mabasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…