Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji86]Hadi wautoe MWIKO huko nyuma....
Mkuu waombe samahani Namungo, msimu uliopita walifika makundi Kwanini unawafananisha na mambo ya kijinga?Yanga ya kwenye Mwanaspoti kama una roho nyepesi unaweza dhani inafanana na Bayern Munich ya Ujerumani.
Yanga ya Maulid Kitenge, kama hujui Yanga unaweza kuifananisha na Barcelona.
Lakini ukija kuiona hiyo Yanga yenyewe sasa, hata Namungo ya Ruangwa ina nafuu
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]muulize manara!!Daah, Young Africans tunafeli wapi?
Aaahahahahahahha!!mtasema yote mwaka huu!Tatizo yanga inaongozwa na watu wa simba waliojipenyeza yanga akiwemo Manara.Hakuna yanga tena kuna simba B
Hapana kocha mtampa lawama za bure tu, ni yeye aliyeomba apewe muda wa miezi mitatu kwa ajili ya kupata combination ya timu kitokana na kusajiliwa wachezaji ambao hawakuwepo kwenye mpamgo wakeNina mashaka sana na uwezo wa huyu kocha wa Yanga Nabi, nilimsikia majuzi alivyokuwa akiongea inaonekana alikuwa hajiamini ni kama alikuwa na tashwishwi na uwezo wa timu yake kufanya vizuri katika mechi ya leo.
Halafu Yanga wanafahamu wana mechi kubwa muhimu ya kimataifa lakini hata hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, eti wanacheza mechi ya kujipima nguvu na timu ya Pan Afrika, kweli..!!
Yanga hawakujiandaa na haya mashindano na wanavuna walichokipanda. Wajipange tu kwenye ligi, hawana kitu kwenye haya mashindano ya kimataifa. They're a shame.
Bora ujipe moyo-Feisal Salum clear chance to score
-Yusuph Athuman one against one with goalkeeper
-Makambo two unlucky chances
-Zawadi Mauya poor mildified defending
-No threat movements for Ducapel Moloko
-Lack of clear penetration passes
-Lack of sure creative mildifieder
Football refer to a game of mistakes
One mistake, One goal
Unlucky day for Yanga
Let's go back champions
First leg is for them but second leg is for us with more goals
Ila mwanaspoti nuksiii! Wanavyoipambaa Yangaa daahh! Balaaa kila siku!Yanga ya kwenye Mwanaspoti kama una roho nyepesi unaweza dhani inafanana na Bayern Munich ya Ujerumani.
Yanga ya Maulid Kitenge, kama hujui Yanga unaweza kuifananisha na Barcelona.
Lakini ukija kuiona hiyo Yanga yenyewe sasa, hata Namungo ya Ruangwa ina nafuu
Hahahaahaha!! Waweke mpini!!Hadi wautoe MWIKO huko nyuma....
Hujaacha ushoga tu bado[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]muulize manara!!
Sawa shoga ila hapa jukwaani hakuna mabashaBora ujipe moyo
Ila hakuna second leg wala fourth legs mnafungwaaaa!!!Yanga bado kimataifa huo ndo ukweli!
Mnamuamini manara mtu wa porojo kuliko reality!
Roho mbaya tu! Siwapendii
Mbele ya nyoko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mark my words "YANGA ANASONGA MBELE"
Wameitia aibu nchi yao ya Congo, sisi biashara mbona ilienda vizuri hapo juzi tena bila hasaraAisee nimefurahi mno maana hawa yanga wana maneno balaa ila uwanjani [emoji706][emoji706][emoji706]. Japo kitaifa wametutia aibu nchi yetu
Ni aibu kwa hii [emoji1241][emoji1241]Wameitia aibu nchi yao ya congo, sisi biashara mbona ilienda vizuri hapo juzi tena bila hasara
Walikuwa wanajua yale mawatu kwenye jersey yao game ikiwa ngumu yatatoka ku assist mpiraYanga walidhani jezi ndo zinafunga magoli