Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani na ex-seminarian mwenzangu wewe umeelewaje kuhusu mikoba ya ufundi? Tazama jina langu ndio ujue huko kwa kina Kalimanzila mimi siko kabisaaaaaYashapitwa na wakati haya mtani.......
Wafungaji ni kina nani jamanii? Kwa misupu naona ni Uhuru, Mgosi, Mgosi na Echesa na Yanga ni Nurdin na Tegete kulikoni hapa hivo huyo Ngassa wao yumo?
Pulizii mtani kupewa kadi nyekundu ni kutoka na wao kuzidiwa ndio maana wakacheza ndivyo sivyo. Kummpiga mweziyo kichwa siyo soka hiyo labda cage fighting.Tumejitahidi though(pamoja na kufulia).........4-3 na wawili wamepewa red sio mbaya....Hongereni watani
Goli la 4 la Simba limefungwa na Echesa
Mtani na ex-seminarian mwenzangu wewe umeelewaje kuhusu mikoba ya ufundi? Tazama jina langu ndio ujue huko kwa kina Kalimazila mimi siko kabisaaaaa
Simba hawajafungwa mechi yoyote, wametoka droo mbili tu!
Pole sana mkuu.Weekend yako imekuwa mbaya!
Pulizii mtani kupewa kadi nyekundu ni kutoka na wao kuzidiwa ndio maana wakacheza ndivyo sivyo. Kummpiga mweziyo kichwa siyo soka hiyo labda cage fighting.
Hahaaaaaaaaaaa....Nikajua ni ile ya akina Mzimba.....Ya Kamati ya ufundi....Hongera kwa ushindi(kwa lugha yetu ile ya Seminarini twasema 'Congratulations pro wining venatus'.....Pamoja frater