lil wayne
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 992
- 904
Ngoja nikupe somo kidogo!Kwahiyo ndio mnafunga kwa mikono kwa sababu halifutwi!
Mabao ya aina hii yamebatizwa jina "Hand 0f GOD".
Hilo jina limetokana na ustadi, Ujuzi, Umakini na Utaalamu wa kiwango cha juu sana ulio tumika na mchezaji husika kufunga bao bila mwamuzi kutambua chochote.
Mara nyingi mabao ya aina hii si rahisi waamuzi wa pembeni na yule wa katikati kuweza kugundua....
"HII NINKUTOKANA NA KUWA MAGOLI YA AINA HII HUFUNGWA NA MCHEZAJI 'UNCONSCIOUSLY' YAANI BILA SHURUTI YAKE"
Mabao ya aina hii hufungwa mara nadra sana Ulimwenguni.
Unaweza kupewa nafasi kama 20 ya kufunga mabao ya mkono lakini mwamuzi akaweza kuona kwa kuwa umefanya "KUSUDIO".
Mara zote pongezi humuendea mchezaji, na lawama kwa mwamuzi....
Hauhitaji Hasira Sana kuhamisha lawama za Mwamuzi kupeleka kwa Mchezaji. Hizo hasira za kung'oa viti ni bora uzipeleke Shambani huenda ikasaidia.