Yanga vs Singida ni FIXED MATCH

Mkwawe

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
3,132
Reaction score
5,508
Katika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida

THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja

Deus Kaseke kapoteza pasi zote

Bruno Gomes kama mgonjwa vile

Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini

Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede

Singida washuke daraja tu up
 
Njoo kwa Golikipa sasa

Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu

Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili

Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa

Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
 
Hoja zako zote ulizozitoa hapa ni za kipuuzi, na hakuna hata hoja moja inayothibitisha huu uongo wako. Fixed match kwa ajili ya nini? Ili Yanga isishuke daraja? Au fixed match ili imzidi point mshindi wa pili, na hivyo kuchukua ubingwa?

Akifanya makosa mwamuzi, mnasema kauza mechi! Timu ikifungwa na Yanga!; imeuza mechi, wachezaji wamehongwa, fixed match!

Chakushangaza, na timu yenu ya simba nayo ina msimu wa pili huu! Ikijitahidi sana, basi ni sare. Kinyume na hapo, na yenyewe inafungwa!

Kwahiyo tuseme na nyinyi pia huwa mnauza mechi kwa watani wenu Yanga? Au ni timu nyingine pekee, ila nyinyi huwa mnafungwa kihalali?
 
Njoo kwa Golikipa sasa

Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu...
Angalia sababu nyingine za kipuuzi hizi! Mbona hamkulalamika kwenye mechi mliyocheza juzi na Namungo, kwa kocha wa Namungo kumuacha mchezaji muhimu kama Lusajo nje! Na hivyo timu yakr kukosa mshambuliaji wa uhakika?

Je, na kocha wa Namunho naye aliwauzia ile mechi?

Mnatia huruma aisee.
 
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Huyu jamaa atakuwa alilipwa hela nyingi sana maana mayele alikuwa na mabeki watatu lakini na yeye akaliacha lango na kukimbia nje ya 18 kwenye goli la pili.

Goli la kwanza na la nne aliamua kwa makusudi kutojishughulisha huku goli la tatu mabeki walimuacha jamaa afunge kirahisi.
 
Wawa aliingia sababu Beimes kano aliumia.
Laiti ungemfwalia Wawa jinsi alivowachoma mechi mbili za mwisho alizocheza hata usingeonge haya unayosema.
 
Ngada fc punguzeni kula unga ili akili ziwarudie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…