Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
Katika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up