Yanga vs Singida ni FIXED MATCH

Yanga vs Singida ni FIXED MATCH

Sasa mbona hata timu yako ya simba nayo inapocheza na Yanga huwa inafungwa! Na ikijitahidi sana basi huambulia sare! Unataka kusema na yenyewe pia huwa inakosa hiyo fighting spirit?
Yaani wao wanataka wawe mabingwa kwa kupambaniwa na team zingine wangekua wanashinda mechi zao haya yote yasingekuepo
 
Njoo kwa Golikipa sasa

Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu

Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili

Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa

Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Huu upembuzi yakinifu ungeufanya wakati Simba anatoka droo na Singida, au wakati Simba anafungwa na Azam
 
Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.
Niambie hiyo FIGHTING SPIRIT inakuwaga wapi wakati Simba anacheza na Yanga? Huwa inakuwaje mnafungwa? AU NA NYIE MNAPEWA BAHASHA NA YANGA??
 
Katika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida

THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja

Deus Kaseke kapoteza pasi zote

Bruno Gomes kama mgonjwa vile

Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini

Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede

Singida washuke daraja tu up
Unateseka ukiwa wapi? Tupe location
 
Mleta mada inaonekana hujui mpira au unafanya kusudi. Kwa mpira wanaocheza SBS wanaojua mpira hawashangai timu hiyo kufungwa na Yanga. Binafsi hata sare na Simba nilishangaa maana nilijua watafungwa kutokana na aina ya mpira wanaosheza. Haiwezekani wapishane vile uwanjani na Yanga huku wakiwa na akina Kaseke na Ndemla katikati halafu watoke salama.
 
Njoo kwa Golikipa sasa

Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu

Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili

Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa

Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Wewe siyo wa kiwango hiki Mkuu. Umeshavuka level, jitofautishe na Wahuni.
 
Angalia sababu nyingine za kipuuzi hizi! Mbona hamkulalamika kwenye mechi mliyocheza juzi na Namungo, kwa kocha wa Namungo kumuacha mchezaji muhimu kama Lusajo nje! Na hivyo timu yakr kukosa mshambuliaji wa uhakika?

Je, na kocha wa Namunho naye aliwauzia ile mechi?

Mnatia huruma aisee.
Kwani mwenye namungo ni mshabiki lialia wa Simba kama mwiguru Alie msajiri mpaka Feisal
 
Hakuna haja ya kuumiza vichwa hapa, hiyo mechi ilikua fixed OVER!!

1. Angalia goli la kwanza wakati krosi inapigwa beki hakujishughulisha hata kublock kasimama kama mti.

2. Goli la 3 alofunga kibwana kuna yule beki mkongo anakabia macho tu.

3. Goli la 4 Mayele anapiga beki yupo mbele yake hakuna blocking alofanya kasimama kama mti.

Watu wanasema mechi ya Simba na Mtibwa ilikua fixed, ni bora Mtibwa walipambana kuliko wale walima alizeti walikua wanafanya jogging uwanjani.
 
Njoo kwa Golikipa sasa

Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu

Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili

Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa

Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Alimuingiza Wawa kusaidia kupunguza idadi ya magoli. Mkuu wewe ukocha ulisoma ili ukusaidie kujua tactical substution zinavyokua au unajaribu ku guess tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida

THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja

Deus Kaseke kapoteza pasi zote

Bruno Gomes kama mgonjwa vile

Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini

Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede

Singida washuke daraja tu up
Mtapata taabu Sana safari hii nakuambia.
 
Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.
Shida mnachodhani kile mlichokutana nacho ndicho na sisi tunakutana nacho. Sababu ya kidwanzi sana kwa sababu tunatofautiana ubora yawezekana nyie ndio uwezo wenu uliishia pale na sisi tumefaidika na kwa wachezaji wao muhimu kutokuwepo na kubwa zaidi ni ubora wa Yanga kwa sasa. Hivi kwa ule mpira wa jana hasa kipindi cha kwanza kuna timu gani ingechomoka pale?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom