Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wao wanataka wawe mabingwa kwa kupambaniwa na team zingine wangekua wanashinda mechi zao haya yote yasingekuepoSasa mbona hata timu yako ya simba nayo inapocheza na Yanga huwa inafungwa! Na ikijitahidi sana basi huambulia sare! Unataka kusema na yenyewe pia huwa inakosa hiyo fighting spirit?
Huu upembuzi yakinifu ungeufanya wakati Simba anatoka droo na Singida, au wakati Simba anafungwa na AzamNjoo kwa Golikipa sasa
Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu
Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili
Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa
Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Niambie hiyo FIGHTING SPIRIT inakuwaga wapi wakati Simba anacheza na Yanga? Huwa inakuwaje mnafungwa? AU NA NYIE MNAPEWA BAHASHA NA YANGA??Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.
Unateseka ukiwa wapi? Tupe locationKatika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up
Wewe siyo wa kiwango hiki Mkuu. Umeshavuka level, jitofautishe na Wahuni.Njoo kwa Golikipa sasa
Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu
Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili
Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa
Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Nikusahihishe kidogo, lile goli hakufungwa na Banda. Banda alipiga cross yeye akaupeleka wavuni mwenyewe.Huyu pia ni golikipa namba 3 baada ya metacha kufungiwa na Benjamin haule kupigwa kadi nyekundu.
Kiuhalisia huyu kipa ni mbovu fuatilia hata goli alofungwa na Banda ni uzembe wake.
Msimbazi.Unateseka ukiwa wapi mkuu?
Kama vile diarra alivyomuachia lidobo okra majic apige goli bora la msimuHata hii mechi ilikua fixed maana inonga aliinua mguu makusudi Ili mayele apitishe mpira.
Kwani mwenye namungo ni mshabiki lialia wa Simba kama mwiguru Alie msajiri mpaka FeisalAngalia sababu nyingine za kipuuzi hizi! Mbona hamkulalamika kwenye mechi mliyocheza juzi na Namungo, kwa kocha wa Namungo kumuacha mchezaji muhimu kama Lusajo nje! Na hivyo timu yakr kukosa mshambuliaji wa uhakika?
Je, na kocha wa Namunho naye aliwauzia ile mechi?
Mnatia huruma aisee.
Yanga acheni ushoga Kabwili fcNgada fc punguzeni kula unga ili akili ziwarudie.
Tulipowafunga 5-0 na 4-1 ulikuwa hujaja mjiniMAKOLO KAMA MNABISHA , OMBENI MECHI NA YANGA BASI.
Alimuingiza Wawa kusaidia kupunguza idadi ya magoli. Mkuu wewe ukocha ulisoma ili ukusaidie kujua tactical substution zinavyokua au unajaribu ku guess tu?Njoo kwa Golikipa sasa
Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu
Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili
Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa
Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Mtapata taabu Sana safari hii nakuambia.Katika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up
Shida mnachodhani kile mlichokutana nacho ndicho na sisi tunakutana nacho. Sababu ya kidwanzi sana kwa sababu tunatofautiana ubora yawezekana nyie ndio uwezo wenu uliishia pale na sisi tumefaidika na kwa wachezaji wao muhimu kutokuwepo na kubwa zaidi ni ubora wa Yanga kwa sasa. Hivi kwa ule mpira wa jana hasa kipindi cha kwanza kuna timu gani ingechomoka pale?Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.