Mbona yule kiungo wenu punda ni bingwa wa kutoa pasi mkaa, na ambazo baadhi yake zilimsaidia Fei Toto kuwafunga goli la mbali, lakini kila mechi amekiwa akianzishwa?Hawa ndio walimwiza Banda makusudi Jana kaseke anapoteza pasi ila kabakizwa hadi mwisho
Huna akali. Nyie mkiwafunga Mtibwa tano ni sawa. Tena huku wakipewa kadi nyekundu zisizo na vichwa wala miguu.Katika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up
Mwenyewe najiuliza kwanini lusajo akuanza au lah kwanini aliingia mwishoni na lile jamaa namba 9 mgongoni lilikua limesimama tu pale mbeleKama juzi Namungo v Simba Kichuya alipoteza pasi zote, Lusajo ikabidi awekwe nje kabisa asianze, Banka akawa anacheza foul tu makusudi hata akiwa na mpira yeye, Namungo washuke tu daraja
Toka mlijue neno fixed basi kila kitu ni fixed.Hakuna haja ya kuumiza vichwa hapa, hiyo mechi ilikua fixed OVER!!
1. Angalia goli la kwanza wakati krosi inapigwa beki hakujishughulisha hata kublock kasimama kama mti.
2. Goli la 3 alofunga kibwana kuna yule beki mkongo anakabia macho tu.
3. Goli la 4 Mayele anapiga beki yupo mbele yake hakuna blocking alofanya kasimama kama mti.
Watu wanasema mechi ya Simba na Mtibwa ilikua fixed, ni bora Mtibwa walipambana kuliko wale walima alizeti walikua wanafanya jogging uwanjani.
Lile goli alilofungwa na banda haukuliona? Au makosa ya kipa unayaona kwenye mechi za yanga tu?Njoo kwa Golikipa sasa
Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu
Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili
Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa
Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Ngao ya jamii nayo ilikua fixed?Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.
Machoko Kabwili fcMakolo kisa mmejua neno FIXED basi huku mtaani na mtandaoni hatukai kwa raha, kila kolo fixed! fixed! fixed! kama mlivyokuwa mkimwita mume wenu moo! moo! moo! kama mang'ombe.
Ngada f.c
Imeingia hiyoMachoko Kabwili fc
Katika unbeaten 47 tunazoringa nazo, wewe kolo umetupatia 3 sawa ganda fcMachoko Kabwili fc
Wamejitia nuksi hao. Kushuka daraja kwaja. Utabiri tuuKatika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up
Kama ilivyo zile za goli8 za cositolo unioni sio🤨Katika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up
Kapangeni nayakwenu tuwaoneni😄Wamejitia nuksi hao. Kushuka daraja kwaja. Utabiri tuu
Huwa sibishani na KOLO.Tulipowafunga 5-0 na 4-1 ulikuwa hujaja mjini
Yameshafika manne so huyo Wawa aliingizwa kuyapunguza liwe moja?Alimuingiza Wawa kusaidia kupunguza idadi ya magoli. Mkuu wewe ukocha ulisoma ili ukusaidie kujua tactical substution zinavyokua au unajaribu ku guess tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wanajigamba wameshinda huku wamepunguza timu mtu mbili 🏃🚶Huna akali. Nyie mkiwafunga Mtibwa tano ni sawa. Tena huku wakipewa kadi nyekundu zisizo na vichwa wala miguu.
Kipa ni pazia hilo halifichikiLile goli alilofungwa na banda haukuliona? Au makosa ya kipa unayaona kwenye mechi za yanga tu?
Tabu Sana kweli hawa wazee wa kunusaTena wanajigamba wameshinda huku wamepunguza timu mtu mbili 🏃🚶
Msimu huu wanamaliza top 3Hao singida nakuapia watakuwepo msimu huu na msimu ujao tuu baada ya hapo wataitafuta njia walioijia