Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Hahaha [emoji23][emoji23]Hata hii mechi ilikua fixed maana inonga aliinua mguu makusudi Ili mayele apitishe mpira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha [emoji23][emoji23]Hata hii mechi ilikua fixed maana inonga aliinua mguu makusudi Ili mayele apitishe mpira.
Huyu pia ni golikipa namba 3 baada ya metacha kufungiwa na Benjamin haule kupigwa kadi nyekundu.Njoo kwa Golikipa sasa
Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu..
Hilo ndo neno boss wangu.MAKOLO KAMA MNABISHA , OMBENI MECHI NA YANGA BASI.
Sasa kama aliwahi kuchomesha si ndio unazidi kuipa nguvu hoja yangu kwamba hafaiWawa aliingia sababu Beimes kano aliumia.
Laiti ungemfwalia Wawa jinsi alivowachoma mechi mbili za mwisho alizocheza hata usingeonge haya unayosema.
Kwahiyo lawama ni kwa kipa au yanga..?Huyu pia ni golikipa namba 3 baada ya metacha kufungiwa na Benjamin haule kupigwa kadi nyekundu.
Kiuhalisia huyu kipa ni mbovu fuatilia hata goli alofungwa na Banda ni uzembe wake.
Ni kweli beki bora anainuaje mguu kizembe hivyoHata hii mechi ilikua fixed maana inonga aliinua mguu makusudi Ili mayele apitishe mpira.
Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.
Unaupungufu wa maarifa kichwaniNjoo kwa Golikipa sasa
Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu
Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili
Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa
Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Ficha ujinga wako shida sio kufungwa shida ni namna team inavyocheza haionyeshi upinzani hata kidogo mechi ya jana na ile ya mtimbwa ni mjinga tu ndo atakubali hazikuwa fixed.Hata hii mechi ilikua fixed maana inonga aliinua mguu makusudi Ili mayele apitishe mpira.
Potelea mbaliUnaupungufu wa maarifa kichwani
Haya mambo yote kayasababisha zalan wangekutana na ki team ngumu kidogo tu basi safari yao ilikuwa inaishia pale pale taifa.Njoo kwa Golikipa sasa
Mipira yote ilimlenga ye alichokuwa anakifanya ni kuikwepa tu
Unaelewa unaenda kucheza na timu kubwa afu unaingia na viungo wawili
Haya kama hiyo haitoshi cheki sub zao, wameongozwa goli 4 badala uingize watu wansokimbia na wakabaji ambao watasaidia kupeleka mipira kwa kina Kagere, eti ndio kwanza wanamuingiza Wawa
Aliyeongoza goli 4 hana hata wasiwasi wa kulinda ushindi unamuona anawaingiza kina Clement na Kisinda, we umekomaa na kina Wawa yani mbinu ambayo ulitakiwa uingie nayo mwanzoni ndio unataka kuitumia mwishoni ukiongozwa bao 4
Mkuu according to them Simba tu ndio wenye uhalali wa kufungwa na Yanga wengine wote hua wanahongwa au refa kapewa bahashaHoja zako zote ulizozitoa hapa ni za kipuuzi, na hakuna hata hoja moja inayothibitisha huu uongo wako. Fixed match kwa ajili ya nini? Ili Yanga isishuke daraja? Au fixed match ili imzidi point mshindi wa pili, na hivyo kuchukua ubingwa?
Akifanya makosa mwamuzi, mnasema kauza mechi! Timu ikifungwa na Yanga!; imeuza mechi, wachezaji wamehongwa, fixed match!
Chakushangaza, na timu yenu ya simba nayo ina msimu wa pili huu! Ikijitahidi sana, basi ni sare. Kinyume na hapo, na yenyewe inafungwa! Kwa hiyo tuseme na nyinyi pia huwa mnauza mechi kwa watani wenu Yanga? Au ni timu nyingine pekee, ila nyinyi huwa mnafungwa kihalali?
Hawa mbumbu wala wasikupe shida aiseeHoja zako zote ulizozitoa hapa ni za kipuuzi, na hakuna hata hoja moja inayothibitisha huu uongo wako. Fixed match kwa ajili ya nini? Ili Yanga isishuke daraja? Au fixed match ili imzidi point mshindi wa pili, na hivyo kuchukua ubingwa?
Akifanya makosa mwamuzi, mnasema kauza mechi! Timu ikifungwa na Yanga!; imeuza mechi, wachezaji wamehongwa, fixed match!
Chakushangaza, na timu yenu ya simba nayo ina msimu wa pili huu! Ikijitahidi sana, basi ni sare. Kinyume na hapo, na yenyewe inafungwa! Kwa hiyo tuseme na nyinyi pia huwa mnauza mechi kwa watani wenu Yanga? Au ni timu nyingine pekee, ila nyinyi huwa mnafungwa kihalali?
Wewe ndo mjinga ambaye unalazimisha tuamini ujinga wakoFicha ujinga wako shida sio kufungwa shida ni namna team inavyocheza haionyeshi upinzani hata kidogo mechi ya jana na ile ya mtimbwa ni mjinga tu ndo atakubali hazikuwa fixed.
Hii ndio point ya msingi inayoonyesha fixed natchFicha ujinga wako shida sio kufungwa shida ni namna team inavyocheza haionyeshi upinzani hata kidogo mechi ya jana na ile ya mtimbwa ni mjinga tu ndo atakubali hazikuwa fixed.
Sasa mbona hata timu yako ya simba nayo inapocheza na Yanga huwa inafungwa! Na ikijitahidi sana basi huambulia sare! Unataka kusema na yenyewe pia huwa inakosa hiyo fighting spirit?Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.