Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
[emoji1787]Hata hii mechi ilikua fixed maana inonga aliinua mguu makusudi Ili mayele apitishe mpira.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Hata hii mechi ilikua fixed maana inonga aliinua mguu makusudi Ili mayele apitishe mpira.
Kula karoti na mboga mboga za majani kwa ajili ya afya ya macho yako we Kolowizard [emoji28]Screenshot yako haionekani vizuri
Mfa maji hakosi kutapa tapa, poleni sana Simba kikundi cha malalamiko [emoji16]Shida sio kufungwa shida ni ile fighting spririt team zikicheza na simba na zinapocheza na yanga zinakuwa tofauti ile mechi ya mtibwa na yanga ilikuwa fixed na ile ya jana wachezaji wa team pinzani walikuwa hawajitumi kabisa.
Unbeaten for 47 matches zote wewe Makolokolo si kitimu kigumu ili safari ya Yanga iishie pale kwa Mkapa [emoji848][emoji38]Haya mambo yote kayasababisha zalan wangekutana na ki team ngumu kidogo tu basi safari yao ilikuwa inaishia pale pale taifa.
Hivi kwanini kila timu isishinde mechi zake?Yaani wao wanataka wawe mabingwa kwa kupambaniwa na team zingine wangekua wanashinda mechi zao haya yote yasingekuepo
wewe ni mpuuziKatika maisha yangu ya kuangalia mpira sikuwahi kujua matokeo ya mechi yanapangwa vipi Hadi nilipoangalia mechi ya Taifa Stars na Uganda pia na ile ya Jana ya Yanga na Singida
THE MATCH WAS TOTALLY FIXED
Dario Federico haja-dribble past hata Mara moja
Deus Kaseke kapoteza pasi zote
Bruno Gomes kama mgonjwa vile
Aboubakari Khomeini utajiuliza alikuwa anatokea hovyo kwanini
Mangalo anamkaba Fei kama mtu na shogaake wanacheza rede
Singida washuke daraja tu up
Hizo ni fikra ulizonazo wewe. Kocha wa SBS alikua na mawazo yake mengineYameshafika manne so huyo Wawa aliingizwa kuyapunguza liwe moja?
Hiyo mbinu ya kuzuia ndio ilitakiwa iwe game plan ya mwalimu tangu mpira unapoanza
Ukishafungwa 4 hapo huna sababu ya kuendelea kuweka mabeki kulinda usifungwe kumbuka hii sio mechi ya mtoano kwamba idadi ya magoli yanaweza sababisha usifuzu kwenye mechi ya marudiano
Mwalimu alitakiwa aweke full mkoko timu icheze do or die iwe inashambulia tena hilo lingewezekana kutokana na wachezaji wengi wa Yanga waliokuwa wasumbufu walitoka sub
Sina tatizo na wao kuwa top 3 kama unavyodai lakini msimu wa tatu kutoka sasa hawatakuwa ligi kuuMsimu huu wanamaliza top 3
1. Yanga
2. Azam
3. SBS
au
1. Azam
2. Yanga
3. SBS
Singida bado wapo sana kwenye ligi kuu pengine washuke daraja miaka 10 ijayo
Lipeni ata 4-1 basi utopolo mkubwaHuwa sibishani na KOLO.
Hivi hii unbeaten inachagua mechi[emoji3][emoji3]Unbeaten for 47 matches zote wewe Makolokolo si kitimu kigumu ili safari ya Yanga iishie pale kwa Mkapa [emoji848][emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app