kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Comments reservedYanga jioni ya leo anakwenda kuendeleza ushindi wa magoli ya mchongo kutoka kwa timu ya jeshi la magereza nyote mtakuja kunikumbuka jioni ya leo tutaona vituko vya mtu mmoja anaweza funga magoli manne ya kipa kujiangisha au kufumba macho yaani mchongo mchongo tunaomba Tff wafanye uchunguzi wa upangaji wa matokeo hizi timu za majeshi zinatia wasi wasi wakikutana na yanga....
Swali usajili wa nini nanyi mmefungiwa kwa madeni kweli haji manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu ndio maana wengine unaweza wanunua kwa supu na chapati tu.
Nyie ni mashabiki ambao ni taka taka mnatumia makalio kufikilia na sio vichwa vyenu,,Simba na yenyewe ni timu ya majeshi mbona uwa mnafungwa mfululizo na wenzenu wakifungwa mnasema ni ushindi wa mashaka?Yanga jioni ya leo anakwenda kuendeleza ushindi wa magoli ya mchongo kutoka kwa timu ya jeshi la magereza nyote mtakuja kunikumbuka jioni ya leo tutaona vituko vya mtu mmoja anaweza funga magoli manne ya kipa kujiangisha au kufumba macho yaani mchongo mchongo tunaomba Tff wafanye uchunguzi wa upangaji wa matokeo hizi timu za majeshi zinatia wasi wasi wakikutana na yanga....
Swali usajili wa nini nanyi mmefungiwa kwa madeni kweli haji manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu ndio maana wengine unaweza wanunua kwa supu na chapati tu.
Bora kichaa linabweka kama jibwa koko na mkia ukiwa katikati ya mapaja kondefu yaliyon'goka manyoya..Nyie ni mashabiki ambao ni taka taka mnatumia makalio kufikilia na sio vichwa vyenu,,Simba na yenyewe ni timu ya majeshi mbona uwa mnafungwa mfululizo na wenzenu wakifungwa mnasema ni ushindi wa mashaka?
Vipi mbona wakati yanga anafungwa mlikuwa kimya mnakenua sasa ameanza kushinda mnainua vichwa vyenu? Mambo ya usajili ya yanga wewe yanakuhusu nini ayo madeni walikuomba uwalipie?
Yani unawapangia cha kufanya kwenye usajili wao wewe ni nani kwamfano?
Ukishinda wewe ni sawa lakini akishinda yanga unabweka kama kichaa!
Zitaota lini mkuu na yeye kila siku ni kipara kipya..Ndugu kipara naendelea kukusisitiza zikiota tena usinyoe. Hii Yanga itakuumiza akili, macho, masikio hata ngozi. Waliojaribu kama wewe waliamua kuacha. Hivyo maamuzi ni yako Yanga hii haina wa kuizuia hata muungane makolo wote na viongozi wenu.
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?Nyie ni mashabiki ambao ni taka taka mnatumia makalio kufikilia na sio vichwa vyenu,,Simba na yenyewe ni timu ya majeshi mbona uwa mnafungwa mfululizo na wenzenu wakifungwa mnasema ni ushindi wa mashaka?
Vipi mbona wakati yanga anafungwa mlikuwa kimya mnakenua sasa ameanza kushinda mnainua vichwa vyenu? Mambo ya usajili ya yanga wewe yanakuhusu nini ayo madeni walikuomba uwalipie?
Yani unawapangia cha kufanya kwenye usajili wao wewe ni nani kwamfano?
Ukishinda wewe ni sawa lakini akishinda yanga unabweka kama kichaa!
Daah huyu bolizozo anazidi kujaza server kwa mada uchwara kila mudaZitaota lini mkuu na yeye kila siku ni kipara kipya..
Tuendelea kuona thread za kizwazwa tu kutoka kwa kipara kipya..
F*ckYanga jioni ya leo anakwenda kuendeleza ushindi wa magoli ya mchongo kutoka kwa timu ya jeshi la magereza nyote mtakuja kunikumbuka jioni ya leo tutaona vituko vya mtu mmoja anaweza funga magoli manne ya kipa kujiangisha au kufumba macho yaani mchongo mchongo tunaomba Tff wafanye uchunguzi wa upangaji wa matokeo hizi timu za majeshi zinatia wasi wasi wakikutana na yanga....
Swali usajili wa nini nanyi mmefungiwa kwa madeni kweli haji manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu ndio maana wengine unaweza wanunua kwa supu na chapati tu.
Madeni fc lipeni madeni mnayodaiwa acheni kulitia taifa aibu. Fifa wamewachoka wala supu ya vibudu.Nyie ni mashabiki ambao ni taka taka mnatumia makalio kufikilia na sio vichwa vyenu,,Simba na yenyewe ni timu ya majeshi mbona uwa mnafungwa mfululizo na wenzenu wakifungwa mnasema ni ushindi wa mashaka?
Vipi mbona wakati yanga anafungwa mlikuwa kimya mnakenua sasa ameanza kushinda mnainua vichwa vyenu? Mambo ya usajili ya yanga wewe yanakuhusu nini ayo madeni walikuomba uwalipie?
Yani unawapangia cha kufanya kwenye usajili wao wewe ni nani kwamfano?
Ukishinda wewe ni sawa lakini akishinda yanga unabweka kama kichaa!
Tabora alikukung'uta 3 bila unasema huna wa kukuzuia?Ndugu kipara naendelea kukusisitiza zikiota tena usinyoe. Hii Yanga itakuumiza akili, macho, masikio hata ngozi. Waliojaribu kama wewe waliamua kuacha. Hivyo maamuzi ni yako Yanga hii haina wa kuizuia hata muungane makolo wote na viongozi wenu.
Ungeuliza kuzuiwa kufanya nini? Acha kutafuta vitu vinavyokupa furaha ya muda ukidhani ndio kinga yako yaan Tabora kunifunga, Azam kunifunga ndio vininyong'onyeshe kweli? Au ulidhani nasema hakuna wa kunifunga na ni timu gani isiyofungwa dunia hii?. Hizo hoja zote uko sahihi ila sicho nilichomaanisha. Usikurukupe wala kuhemkwa tuliza ndonga.Tabora alikukung'uta 3 bila unasema huna wa kukuzuia?
Unazidiwa na simba kila kitu magoli,points halafu unasema huna wa kukuzuia?
Kwenye kundi lako unaburuza mkia unasema huna wa kukuzuia?
Atuwezi kubishana na nyie hadhi yenu labda mbishane na wakinamama wenzenu kwenye kikombe cha kahawa,,msitake kujilinganisha na wanaume ni Bora mkafunga midomo yenuMadeni fc lipeni madeni mnayodaiwa acheni kulitia taifa aibu. Fifa wamewachoka wala supu ya vibudu.
Kwani uongo mnavyoshinda kwa magoli ya mchongo.