kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Watafungwa kumi hizo timu za jeshi zinafuata maelekezo!Na Sasa Ni tatu bila na mpira mapumziko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafungwa kumi hizo timu za jeshi zinafuata maelekezo!Na Sasa Ni tatu bila na mpira mapumziko
Waanze na magoli wanayofungwa Simba na Yanga kwani yanafanana hivyo kuashiria mchongo, Simba katika ubora wake huko nje si timu ya kufungwa na Yanga asilani.Yanga jioni ya leo anakwenda kuendeleza ushindi wa magoli ya mchongo kutoka kwa timu ya jeshi la magereza nyote mtakuja kunikumbuka jioni ya leo tutaona vituko vya mtu mmoja anaweza funga magoli manne ya kipa kujiangisha au kufumba macho yaani mchongo mchongo tunaomba Tff wafanye uchunguzi wa upangaji wa matokeo hizi timu za majeshi zinatia wasi wasi wakikutana na yanga....
Swali usajili wa nini nanyi mmefungiwa kwa madeni kweli haji manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu ndio maana wengine unaweza wanunua kwa supu na chapati tu.
Hukuona mpaka magoli ya mikono leo!Waanze na magoli wanayofungwa Simba na Yanga kwani yanafanana hivyo kuashiria mchongo, Simba katika ubora wake huko nje si timu ya kufungwa na Yanga asilani.
Hatutoi mpka mseme mnaumiaWakishinda hiyo mechi itawasaidia nini? Uto toeni huo mwiko huko nyuma mtanishukuru baadae
Ile medali mnayotamba nayo mtaani ni ya kombe gani?Atuwezi kubishana na nyie hadhi yenu labda mbishane na wakinamama wenzenu kwenye kikombe cha kahawa,,msitake kujilinganisha na wanaume ni Bora mkafunga midomo yenu
Mbona yalikwisha halalishwa kwenye kombe la dunia na Maradona akathibitisha.Hukuona mpaka magoli ya mikono leo!
Unaumwa wewe si bure.Yanga jioni ya leo anakwenda kuendeleza ushindi wa magoli ya mchongo kutoka kwa timu ya jeshi la magereza nyote mtakuja kunikumbuka jioni ya leo tutaona vituko vya mtu mmoja anaweza funga magoli manne ya kipa kujiangisha au kufumba macho yaani mchongo mchongo tunaomba TFF wafanye uchunguzi wa upangaji wa matokeo hizi timu za majeshi zinatia wasi wasi wakikutana na Yanga.
Swali usajili wa nini nanyi mmefungiwa kwa madeni kweli haji manara alisema Yanga wenye akili ni wawili tu ndio maana wengine unaweza wanunua kwa supu na chapati tu.
Kumbe!Mbona yalikwisha halalishwa kwenye kombe la dunia na Maradona akathibitisha.
Goli la mkono wa mungu.Kumbe!
Hili tawi halisemwi kabisa na makoloSimba ndio Tawi la Yanga la Asili, maana imesha shenyetwa ata idadi haifahamiki.