Yanga vs tawi lake point haziulizwi hapo hiyo nayo ni timu ya jeshi tutegemee magoli ya mchongo!

Waanze na magoli wanayofungwa Simba na Yanga kwani yanafanana hivyo kuashiria mchongo, Simba katika ubora wake huko nje si timu ya kufungwa na Yanga asilani.
 
Atuwezi kubishana na nyie hadhi yenu labda mbishane na wakinamama wenzenu kwenye kikombe cha kahawa,,msitake kujilinganisha na wanaume ni Bora mkafunga midomo yenu
Ile medali mnayotamba nayo mtaani ni ya kombe gani?
 
Unaumwa wewe si bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…