Yanga waajiri kocha wa free kicks, na penalty shoots

Yanga waajiri kocha wa free kicks, na penalty shoots

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Kama Yanga wanataka kubeba kombe la Club Bingwa Africa lazima wafanyie kazi udhaifu uliopo kwenye upigaji penati na mipira ya adhabu.

Gamond ni bonge la kocha lakini si mzuri kwenye hizo sehemu nilizotaja. Kama timu inataka kuingia kwenye kuwa professional football club iliyo kamilika inabidi wakubali kuingia gharama kuajiri mtaalum wa hayo mambo mawili au matatu na throw in coach yaani mambo ya kurusha mipira iliyotoka nje ya uwanja.

Kumbukeni Ngao ya jamiii 2023/2024 dhidi ya Simba, CCL quarter final dhidi ya Masandawana, mechi dhidi ya Azam CRDB FA Cup final dhidi ya Azam almanusura washindwe kutetea ubingwa.

Waache kumpa Aziz Ki kupiga penati kwenye mechi zenye shinikizo sababu jamaa ni dhaifu sana emotionally mnakumbuka alitoa chozi sababu ya zawadi ya birthday mbele ya mrembo?

Huyo ni mtoto wa mama dhaifu kuhimili pressure japo ni fundi sana.

Moderator nisaidieni kurekebisha thread title neno penult lisomeke penalty shoots.
 
Kabla ya penalty niliwaambia watu wakati tunacheck GAME GAMOND asimpe AZIZ KI penalty aanze ana PRESHA sana lazima akose na ikawa kweli

Kocha wa AZAM yuko vizuri KI PHYSIOLOGY alimsoma FEI na akajua akimpa aanze atakosa
 
Ulimaanisha kweli kutumia hili neno physiology katika ujumbe wako?
Hapo sijui hilo neno kama sahihi ila nilitaka kumaanisha alimsoma mawazo yake na akagundua hvyo so hakumpa nafasi ya kuwa mpigaji wa kwanza
Sasa sijui hilo neno nilotumia no sahihi ama vipi
Unaweza nirekebisha mkuu usiogope napenda kujifunza
 
Kama Yanga wanataka kubeba kombe la Club Bingwa Africa lazima wafanyie kazi udhaifu uliopo kwenye upigaji penati na mipira ya adhabu.

Gamond ni bonge la kocha lakini si mzuri kwenye hizo sehemu nilizotaja. Kama timu inataka kuingia kwenye kuwa professional football club iliyo kamilika inabidi wakubali kuingia gharama kuajiri mtaalum wa hayo mambo mawili au matatu na throw in coach yaani mambo ya kurusha mipira iliyotoka nje ya uwanja.

Kumbukeni Ngao ya jamiii 2023/2024 dhidi ya Simba, CCL quarter final dhidi ya Masandawana, mechi dhidi ya Azam CRDB FA Cup final dhidi ya Azam almanusura washindwe kutetea ubingwa.

Waache kumpa Aziz Ki kupiga penati kwenye mechi zenye shinikizo sababu jamaa ni dhaifu sana emotionally mnakumbuka alitoa chozi sababu ya zawadi ya birthday mbele ya mrembo?

Huyo ni mtoto wa mama dhaifu kuhimili pressure japo ni fundi sana.
Uko correct 100%. Yanga haijawahi kuwa nzuri kwenye hiz kicks hata wakati wa Nabi; nadhan ni Djuma Shabani tu ndiye aliyekuwa akiziweza vizuri lakini wengine wote wanasumbuliwa sana nazo. Walitolewa kombe la mapinduzi mwaka 2023 kwa njia ya penalty, wakakosa ngao ya Jamii kwa penalty, "wakatolewa" na sundown pia kwa njia ya penalty. Hata waliposhinda kombe la Azam dhidi ya Costal Union mwaka 2022, badoo ilikuwa ni almanusra tu, kwani kipa wa Coastal alikuwa anaona mipira yote ya Yanga inakokwenda, na lile la ushindi lilikuwa la bahati bahati tu

Pamoja na kuwa penalty hazina wenyewe, yanga wanahitaji mafunzo maalum ya upigaji wa penalty.
 
Uko correct 100%. Yanga haijawahi kuwa nzuri kwenye hiz kicks hata wakati wa Nabi; nadhan ni Djuma Shabani tu ndiye aliyekuwa akiziweza vizuri lakini wengine wote wanasumbuliwa sana nazo. Walitolewa kombe la mapinduzi mwaka 2023 kwa njia ya penalty, wakakosa ngao ya Jamii kwa penalty, "wakatolewa" na sundown pia kwa njia ya penalty. Hata waliposhinda kombe la Azam dhidi ya Costal Union mwaka 2022, badoo ilikuwa ni almanusra tu, kwani kipa wa Coastal alikuwa anaona mipira yote ya Yanga inakokwenda, na lile la ushindi lilikuwa la bahati bahati tu

Pamoja na kuwa penalty hazina wenyewe, yanga wanahitaji mafunzo maalum ya upigaji wa penalty.
Upo sahihi na jamaa mleta uzi yupo sahihi pia. Sio Penalty tu, dead ball zote wanashindwa kuzitumia vyema.

Timu za Tanzania zinashindwa kutumia hizo set pieces zote. Unaona Yanga wanapata kona 7 ila hawapati goli hata 1. Utaona anaenda Aziz kupiga kona na anamuanzishia Max then mpira unapotea. Huo ni udhaifu wa timu zetu kwenye michuano ya kimataifa.

Hapa ni kweli wanatakiwa watafute specialist wa mipira iliyokufa.
 
Hapo sijui hilo neno kama sahihi ila nilitaka kumaanisha alimsoma mawazo yake na akagundua hvyo so hakumpa nafasi ya kuwa mpigaji wa kwanza
Sasa sijui hilo neno nilotumia no sahihi ama vipi
Unaweza nirekebisha mkuu usiogope napenda kujifunza
Saikoloji.
 
Nawewe utafute mwalimu wa English
Kama Yanga wanataka kubeba kombe la Club Bingwa Africa lazima wafanyie kazi udhaifu uliopo kwenye upigaji penati na mipira ya adhabu.

Gamond ni bonge la kocha lakini si mzuri kwenye hizo sehemu nilizotaja. Kama timu inataka kuingia kwenye kuwa professional football club iliyo kamilika inabidi wakubali kuingia gharama kuajiri mtaalum wa hayo mambo mawili au matatu na throw in coach yaani mambo ya kurusha mipira iliyotoka nje ya uwanja.

Kumbukeni Ngao ya jamiii 2023/2024 dhidi ya Simba, CCL quarter final dhidi ya Masandawana, mechi dhidi ya Azam CRDB FA Cup final dhidi ya Azam almanusura washindwe kutetea ubingwa.

Waache kumpa Aziz Ki kupiga penati kwenye mechi zenye shinikizo sababu jamaa ni dhaifu sana emotionally mnakumbuka alitoa chozi sababu ya zawadi ya birthday mbele ya mrembo?

Huyo ni mtoto wa mama dhaifu kuhimili pressure japo ni fundi sana.
 
Upo sahihi na jamaa mleta uzi yupo sahihi pia. Sio Penalty tu, dead ball zote wanashindwa kuzitumia vyema.

Timu za Tanzania zinashindwa kutumia hizo set pieces zote. Unaona Yanga wanapata kona 7 ila hawapati goli hata 1. Utaona anaenda Aziz kupiga kona na anamuanzishia Max then mpira unapotea. Huo ni udhaifu wa timu zetu kwenye michuano ya kimataifa.

Hapa ni kweli wanatakiwa watafute specialist wa mipira iliyokufa.
Tena aje kabla ya pre season haraka sana
 
Back
Top Bottom