Yanga waajiri kocha wa free kicks, na penalty shoots

Yanga waajiri kocha wa free kicks, na penalty shoots

Hapo sijui hilo neno kama sahihi ila nilitaka kumaanisha alimsoma mawazo yake na akagundua hvyo so hakumpa nafasi ya kuwa mpigaji wa kwanza
Sasa sijui hilo neno nilotumia no sahihi ama vipi
Unaweza nirekebisha mkuu usiogope napenda kujifunza
Badala ya physiology unatakiwa kutumia psychology
 
Back
Top Bottom