OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
najiuliza hawa wachezaji wapya na waajiriwa wengine kama Senzo,huwa wanafanya tathmini na due deligence ya uwezo wa kifedha wa hii timu?wanafanya tathmini ya reliability ya malipo na ufadhili? au wanajisainia tuYanga mbona sasa wanaanza kushindwa mapema?
michango bado mapema hivi ata ligi aijaanza pesa zimeisha?