ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Hili ndio tatizo namba moja,
Wazawa wote wanaocheza nafasi za viungo na mbele akiwemo na Niyonzima wakubali tu kuwa viwango vipo chini waondoshwe. Kwa modern soccer kwa sasa mpira umebadilika mno hebu tuwaangalie kesho timu ya Mamelodi quality yao pale ndipo utakapoona kuwango anachostahili kuwa nacho Yanga.
Jingine ni umiliki wa mpira, tuna tatizo dogo la kupoteza mipira mingi pale tunapopenda sana kutumia mipira ya juu badala ya pasi za mtu kwa mtu pamoja na matumizi ya V pass hili limewashinda kabisa hasa wachezaji wazawa kama Nchimbi na wenzake.
Yanga ipo vizuri, mwalimu mzuri shida ipo hapo tu ambapo tunahitaji uwekezaji mkubwa tuongeze wachezaji ma-pro wazuri makombe tutayazoa mpaka tuseme basi.
Wazawa wote wanaocheza nafasi za viungo na mbele akiwemo na Niyonzima wakubali tu kuwa viwango vipo chini waondoshwe. Kwa modern soccer kwa sasa mpira umebadilika mno hebu tuwaangalie kesho timu ya Mamelodi quality yao pale ndipo utakapoona kuwango anachostahili kuwa nacho Yanga.
Jingine ni umiliki wa mpira, tuna tatizo dogo la kupoteza mipira mingi pale tunapopenda sana kutumia mipira ya juu badala ya pasi za mtu kwa mtu pamoja na matumizi ya V pass hili limewashinda kabisa hasa wachezaji wazawa kama Nchimbi na wenzake.
Yanga ipo vizuri, mwalimu mzuri shida ipo hapo tu ambapo tunahitaji uwekezaji mkubwa tuongeze wachezaji ma-pro wazuri makombe tutayazoa mpaka tuseme basi.